Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Askari wa kikosi cha kulinda usalama wa nchi za Afrika wameweza kugundua hilo.
Mashushu wa Irael walifanikiwa kuingia ktk kikao cha viongozi wa umoja wa Afrika kinacho endelea nchini Ethiopia.
Watu hao waliingia kwa kutumia Hati za kusafiria na vitambulisho vya bandia ili kuweza kuingia kwenye ukumbi wa kikao hicho.
Kwa ushupavu wa askari wetu ( Afrika ) waliweza kuwabaini na kuwatoa nje ya kikao.
Je, nini walikusudia kuapata kutoka kwenye kikao cha viongozi wa Afrika?
Je, inawezekana wamekuwa wakifanya hivyo mara nyingi?
Tafadhali kwa mwenye uelewa wa hili jambo walilokusudia kulifanya mara baada ya kupata yaliyokuwa yanaendelea kwenye kikao cha viongozi wetu.
Mashushu wa Irael walifanikiwa kuingia ktk kikao cha viongozi wa umoja wa Afrika kinacho endelea nchini Ethiopia.
Watu hao waliingia kwa kutumia Hati za kusafiria na vitambulisho vya bandia ili kuweza kuingia kwenye ukumbi wa kikao hicho.
Kwa ushupavu wa askari wetu ( Afrika ) waliweza kuwabaini na kuwatoa nje ya kikao.
Je, nini walikusudia kuapata kutoka kwenye kikao cha viongozi wa Afrika?
Je, inawezekana wamekuwa wakifanya hivyo mara nyingi?
Tafadhali kwa mwenye uelewa wa hili jambo walilokusudia kulifanya mara baada ya kupata yaliyokuwa yanaendelea kwenye kikao cha viongozi wetu.