GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ipo hivi waislamu linapokuja itikadi za dini huwa wapo pamoja hata kama Uovu maadamu dini ni moja ndo maana huwezi msikia Zito,nondo,fatuma nk wakikosoa uovu tofauti na kama mtawala akiwa wa Imani tofauti na wao kutwa hawalali kutafuta attention,kwa sasa hivi katu huwezi wasikia.
Na hao watawala unaowakusudia ni Kikwete na Samia? Lakini sasa mbona kipindi cha Kikwete ndio kuliibuka ile ishu ya Uamsho na masheikh wakafungwa?
 
No reforms no election sio solution ya mapungufu ya sheria ya uchaguzi. Fatma yuko sahihi. Huwezi kuzuia watu wanaotaka kushiriki uchaguzi, that is illegal. Ila unaweza kususa wewe mwenyewe, that is personal choice. Ili kususa kuathiri credibility ya uchaguzi, inabidi wanaosusa wawe wengi kwa mbali sana kulinganisha na wanaoshiriki uchaguzi. Hapo ndipo anapisema Fatma kuwa Chadema haina hizo numbers.
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Yule alimpinha sana Magu kwa sabanu ya Dini yake, sasa huyu wa sasa ni ndugu katika Imani
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Tatizo la Fatma ni UDINI.
 
Tanzania watu husifia au kuponda watawala kwa sababu zao binafsi tu.

Ni unafiki zaidi.
Watanzania wakilijua hilo wala hawatoshangazwa, na sio kuwa na sababu binafsi tu bali inaweza kufika muda mtu akabadili mtazamo wake kwa sababu zake tofauti tofauti ndio maana mie hata siku nikija kuona Lissu nae kabadilika wala sitoshangaa.
 
Kuna post aliwashutumu chadema kwa udini,kashtuka,kaujua muundo wa wadini,kajiweka kando, kupitia mitandao fitna inageuka,wadini na walioweka misingi hiyo hawatofika kokote
Faizafoxy umekuja kivingine.
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Fatma Karume ni mdini sana na pia ni Mzanzibari sana ndiyo maana humuambii kitu kuhusu Samia
 
Kiranga nakusoma na kukuelewa vizuri hasa hoja za Watanzania kuhusu uhuru wa maoni na kushiriki.

Gwajima: Ana makando kando mengi kuanzia madhabahuni, jimboni, Bungeni na mitaani. Ni mtata asiye na credibility wala integrity. Hilo halina ubishi. Wakati ndio unampa ''heroism'.

Hoja ya mauaji na utakeji ilipotinga Bungeni Spika aliipiga marufuku. Ukiacha mbunge wa Chadema, wengine 390 na ushee hawakuthubu kusema chochote

Gwajima katoka Bungeni na kuita wanahabari kuzungumzia tatizo linaloikera jamii ndicho kumemfanya awe 'a man of moment''. Mkuu hata saa mbovu husema ukweli mara 2 kwa siku. Yes ni oppotunist lakini kwa hili aligusa Umma ndio maana Umma umesahau makando kando yake! kwasababu tuna huzuni na ndilo tatizo la wakati huu! kalisemea

Fatma: Ni mtata pia! aliyopigania wakati wa Magufuli alikaa kimya wakati wa Samia. Fatma alihamasisha watu wavae nguo nyeupe kama ishara ya kudai Tume huru ya uchaguzi. Sikumbuki kama anadai leo hii.
Fatma alipigania Katiba mpya, lakini pia tulimuona kwa Mkandala akijua si katiba mpya ni ulaghai! kisa Samia

Sikubaliani na watu wanaotaka sote tuwe na fikra sawa, wala sikubaliani kuwa mitazamo tofauti ni usaliti.
Hata hivyo penye utata pasemwe! Fatma na Gwajima ni watata, haina maana ni wasaliti au ni hovyo, la hasha, ni watata tu!
Kuna hoja nyingine mahakamani zinakataliwa kujadiliwa kwa sababu ni "argumentative".

Nakubali Fatma ni mtata.Utata wa Fatma unakuja kwa sababu ukitaka kusema hapingi ukandamizaji unakuta anapinga. Nimeweka mpaka tweets zake. Nimemsikiliza Clubhouse akiweka rekodi sawa.

Ukitaka kusema anapinga pia unaona lakini mbona hapingi kama alivyopinga kwa bwana yule? Hawa watu wanaoweka hoja za Uzanzibari wana point au vipi?

Ukitaka kusema lakini mbona hapingi kama alivyopinga kwa bwana yule unajiuliza, kwani lazima apinge kama alivyopinga kwa bwana yule? Vipi kama anaamini kuna mabadiliko fulani ya maana na kupinga sana hakuna maana, kaona hata ikiwa "hataunga juhudi" basi abadili mambo kwa kushawishi kutoka ndani?

Vipi kama kaona uanaharakati uko overrated kaamua kumtazama mola wake zaidi? Ni haki yake, hakuna tutakachomdai kwa kusema awaachie wengine yeye kashafanya sehemu yake. Au anajipanga kuingia katika siasa ana kimya kitakachofuatiwa na mshindo mkuu?

Vipi kama kuna dynamics za kisiwa kidogo zimempoza si kwa sababu yeye ni msaliti, bali kwa sababu ni binadamu ana familia na watu wake wa karibu pia?

Kwangu mimi naona Fatma anasema. Anaisema serikali, anaisema mihimili executive, judiciary, legislature. Anawasema watu. Not so much Samia. Hapa ndipo watu wanapoona shida.

Anapomsema Samia anakuwa circumspect, with uncaharacteristic reverence.

Example is this tweet.

"Samia Suluhu has her advisors. Clearly they have advised her to stop social services for the Maasai of Ngorongoro to force them to move and she’s doing so.

It’s heartbreaking."

Advisors? Really Fatma?

You can't say hamsemi Samia. But she is not as direct as she did for Magufuli.

She is even sympathetic towards Samia.

Saying.

"I think it’s sad times for Samia. People who believed in her feel betrayed by her. She’s lost even her ardent allies.
She’s checkmated herself by isolating real friends in pursuit of power.
I feel sorry for her."

In a Solzhenitsinysque introspection that gives Samia a pass as if nodding to a realization that the thin "line that separates through good and evil cuts through the heart of every human being", Fatma takes a pause. She realizes power corrupts. It is as if she thought the Zanzibari woman was going to be different, perhaps because she is supposed to be cultured, she is not that brute Magufuli after all. But alas, she says, you too Samia? Lord Acton comes to her mind. "Power corrupts and absolute power corrupts absolutely" she muttwrs. Fatma is more disappointed than mad.

But the masses want her to be mad. They did not read Solzhenitsyn. They do not understand nuance.

All they know is she was mad when Magufuli was president. Why not now?

Is it because Samia is a Zanzibari woman?

But what if Fatma is just tired of being mad all the time, she simply does not want to spend her life being mad.

She wants to go to Mecca now. What do they call them, Hajjats?

She is even at a loss of words now, something never seen before.

Do we have a right to demand that she maintain the same speed she had during the Magufuli era?

Isn't that a bit too much?
 
Post za Fatuma Karume nyingi siyo maneno yake anadokoa then anaposti kwa page yake.

Hata hivyo mnataka akale wapi, aliwahi simamia chama fulani mpaka akachomewa kijiwe chake.

All in all atakuwa kaahidiwa mema ya nchi mfano wa Mwamposa
 
Pia Watanzania wengine wana tabia fulani ya projection.

Projection ni nini? Ni tabia fulani ya kumuwekea mtu baki matarajio yako.

Yani mtu hujakaa naye, hujamuuliza anataka nini, lakini unakuwa unalazimisha tu kuwa huyu lazima atakuwa anafikiri kama mimi.

Siku akipata nafasi ya kufunguka na kukueleza kwamba yeye hafikirii kama wewe, unaumia, unamtukana, unamsema huyu msaliti.

Msaliti kivipi? Kwani mlikubaliana mfikirie sawa?

Nimeliona hili sana Peter Madeleka alivyoondoka CHADEMA na kwenda ACT. Kuna watu wamemsema kama vile walikubaliana naye afe mwanachama wa CHADEMA.

Fatma Karume kasema yeye msimamo wake siku zote ni kushiriki kwenye uchaguzi. Aliishauri ACT takriban miaka 10 iliyopita kushiriki kwenye uchaguzi. Hiyo ilikuwa kabla ya No Reforms No Election. Na hata leo anaendelea na msimamo wake huo huo.

Sasa kuna watu wasiomjua wanasema siku hizi kabadilika, wakati yeye anasema huu ndio msimamo wake na kashautoa takriban miaka 10 iliyopita huko.

Watu wengine wanapenda sana kulazimisha kila mtu afikirie kama wao.
Mkuu labda kuna kitu hujui kuhusu huyo afande uliemtaja. Yeye ndio muasisi wa ile kauli mbiu "Hakuna kuhama chama"
Kauli mbiu hii ilitumika kipindi cha Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Watu wanavyo mzodoa sio wajinga.
 
Kwaiyo naye anatuhabarisha kuwa gwaji ni opportunist nia yake tuamini projection yake kuhusu gwaji.
Kwani kuna sifa unahitajika kukidhi vigezo ili uwe na power ya kuwa mtu sahihi wa kukemea uhalifu unaoendelea ktk nchi?
Fatma anasema Gwajima hakemei uhalifu, anatumia hoja ya kukemea uhalifu kupanda chati kisiasa.

Huelewi wapi?
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Katika moja ya sheria kuu kwa waislam nikumpenda mwana dini mwenzio. Nidhambi kubwa msaliti muislam mwenzio. Hii sharia inawaunganisha wa islam wote hivyo hata kazin usishangae bos akiwa muislam kumpenda au toa upendeleo kwa muislma mwenzake... hiyo ni dini inataka hivyo... je waona picha ya 2026? Alamsiki
 
Kwani ni mgeni na nchi hii mswahili akikatiwa mrija hupiga kelele,pambania familia usipoteze muda na mambo yao yatakupotezea muda
 
Yule ajuza ana udini sana na amelithibisha hilo kwenye hili sakata la gwajima na ametia uzanzibari ndani yake, kwa kifupi ni mbwa koko tuu hana maana wala faida hata kidogo
 
Mkuu labda kuna kitu hujui kuhusu huyo afande uliemtaja. Yeye ndio muasisi wa ile kauli mbiu "Hakuna kuhama chama"
Kauli mbiu hii ilitumika kipindi cha Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Watu wanavyo mzodoa sio wajinga.
Mkuu,

Mimi siongelei mtu, naongelea hoja.

Madeleka is a showboat. I know that for some time and I do not need you to tell me that. So I am not the Madeleka fanboy you imagine me to be.

But my point was not to elevate Madeleka. I have a more philosophical and nuanced point than elevating a mere person.

My poInt is that wabongo wengine walikuwa hawamjui Madeleka wakamuona kamanda mpiganaji atakayefia CHADEMA.

Which was wrong. Wabongo tu hata hawamjui, wameproject matakwa yao kwake. This is wrong.

My point ni kwamba wabongo wengi wana project fikra zao kwa watu baki bila hata kukubaliana nao. Watu ambao hata hawajawahi kukutana nao wakaongea.

Ndio hao wanalazimisha Fatma Karume aunge mkono No Reforms No Election, wakati Fatma mwenyewe anasema kifalsafa yeye siku nyingi sana amekuwa akishauri vyama vishiriki chaguzi, kawa na msimamo huo tangu ACT Wazalendo kikiwa chama kichanga takriban miaka kumi sasa.

Sasa mtu kashakuwa na huo msimamo kabla ya No Reforms No Elections haijaanza, mtasemaje kawabadilikia leo kwa kuwa anaendelea na msimamo wake huo huo?
 
Hivi karibuni, Fatma Karume ameonekana kubadili mwelekeo wa mijadala yake ya kisiasa kwa namna ambayo imeibua maswali miongoni mwa watanzania, hasa wale wanaoamini katika harakati za mageuzi ya kweli.

Mwanzo, alivamia vikali kauli za Askofu Gwajima aliyekuwa anapinga matukio ya utekaji na ukiukwaji wa haki unaodaiwa kufanywa na vyombo vya dola, akimtuhumu kuwa anatafuta "attention" ya kisiasa, licha ya kwamba hoja za Gwajima zilikuwa na uzito wa kulinda utu na uhuru wa raia.

Sasa, ameibukia tena kwenye mtandao wa X (zamani Twitter), akizibeza juhudi za CHADEMA na sera yao ya "No Reforms, No Elections", akikariri kuwa kusitisha uchaguzi ni kosa la jinai. Kauli hii imechukuliwa na wengi kama kejeli isiyoakisi hali halisi ya mazingira ya kisiasa nchini, ambapo haki za msingi, uhuru wa kisiasa na uhuru wa kutoa maoni vinaendelea kukandamizwa.

Cha kushangaza zaidi, kauli hizi za Fatma Karume zinatolewa wakati ambapo Tundu Lissu, mmoja wa viongozi wa upinzani na mwanasheria mwenzake, yuko rumande akikabiliwa na mashtaka ya uhaini, ambayo kisheria adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa. Hali hii imezidi kuzua maswali: je, Fatma Karume bado yupo upande wa watetezi wa haki, au amebadili msimamo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika wazi?

Ikumbukwe kuwa katika utawala wa Hayati John Magufuli, Fatma Karume alijitokeza kuwa mmoja wa sauti thabiti zilizokuwa zikikemea dhuluma, ukandamizaji, na matumizi mabaya ya madaraka. Lakini katika utawala wa sasa, ambao nao umeonesha mwelekeo wa kukiuka misingi ya demokrasia, sauti yake imekuwa ya mashaka, wakati mwingine ikisikika kama ya kukubaliabiana na mfumo badala ya kuukosoa.
Je, ni mabadiliko ya kiitikadi? Ni mkakati wa kisiasa? Au kuna mambo ya ndani zaidi ambayo bado hayajawekwa wazi kwa umma? Kwa vyovyote vile, hatua na kauli za Fatma Karume zinahitaji tafakari, hasa kwa wale wanaoamini katika dhana ya "principled activism" yaani, kupigania haki bila kujali nani yuko madarakani.
Huyu nayeye ndo walewale!! Apuuzwe tu hana msimamo anataka nn🏹
 
Mkuu,

Mimi siongelei mtu, naongelea hoja.

Madeleka is a showboat. I know that for some time and I do not need you to tell me that. So I am not the Madeleka fanboy you imagine me to be.

But my point was not to elevate Madeleka. I have a more philosophical and nuanced point than elevating a mere person.

My poInt is that wabongo wengine walikuwa hawamjui Madeleka wakamuona kamanda mpiganaji atakayefia CHADEMA.

Which was wrong. Wabongo tu hata hawamjui, wameproject matakwa yao kwake. This is wrong.

My point ni kwamba wabongo wengi wana project fikra zao kwa watu baki bila hata kukubaliana nao. Watu ambao hata hawajawahi kukutana nao wakaongea.

Ndio hao wanalazimisha Fatma Karume aunge mkono No Reforms No Election, wakati Fatma mwenyewe anasema kifalsafa yeye siku nyingi sana amekuwa akishauri vyama vishiriki chaguzi, kawa na msimamo huo tangu ACT Wazalendo kikiwa chama kichanga takriban miaka kumi sasa.

Sasa mtu kashakuwa na huo msimamo kabla ya No Reforms No Elections haijaanza, mtasemaje kawabadilikia leo kwa kuwa anaendelea na msimamo wake huo huo?
Aisee
 
Back
Top Bottom