Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Huwa Napata ukakasi sana ninapoona hilo swali hapo juu..! Hivi wazazi huwa wanataka Mjukuu ama Mtoto wao Aoe.? Yaani kipi cha muhimu Mtoto ama Ndoa.! Seriously mm naona kuwa na mtoto na wazazi wangu kuitwa Gran (Mom&Papa) ndo kina umuhmu sana kuoa mmhh may be mawazo yabadlike huko mbele
Sio mtoto kama wao walioana kwann na ww usiolewe au kuoa
 
Mwanzoni ilikuwa ni uchumi na sikuwa radhi kumpotezea mtu mda ila sa kikubwa ni jinsi ya kumpata mtu sahihi. Naamini kila mmoja huo mtihani ana upitia sana
 
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Michango ya harusi hawatoi siku hizi, ahadi nyiingi.
Sasa jamani ndoa ni yako,starehe unaenda kupata wewe huko ndoani,kwanini uwape shida watu watoe mahel yao wakupe wewe!!kiruuuu mi upuuzi wa michango ya harusi,marafiki zangu wamenitoa kabisa!!Misiba napewa taarifa nachangia,ila harusi wanaundaga magrupu yao ya kujichangisha mimi hawanihesabu kabisa!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ulivyo bandidu sasa sijui huko kunako faraghani ndio inakuwaje[emoji134] [emoji134] [emoji134]
Au ndio rara nikurenge!![emoji85] [emoji85]
Huko hamna ubandidu....kila mtu bebiiii
 
Umri naotamani Mungu anisaidie niolewe bado haujafka... Afu ctak kufanya fashion i want the man i wll spend the rest of my life with to be my everything na cyo nije nijute buree... So bado nipo nakula ujana
 
Umri naotamani Mungu anisaidie niolewe bado haujafka... Afu ctak kufanya fashion i want the man i wll spend the rest of my life with to be my everything na cyo nije nijute buree... So bado nipo nakula ujana
I can be the one you'v been waitin....Huenda mimi ndiye.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom