Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Mmoja wapo ni Mimi naogopa mno maisha ya ndoa japo c vyema kuchukulia ndoa nyingne kama case study bnafc nayaogopa sana napenda nmzalishe tu mtu nimlee akiwa kwake na Mimi nikiwa kwangu basi
Ona sasa unataka umzalishe tu awe singo maza halafu muanze kusema singo maza Mara hivi Mara vile
 
Ona sasa unataka umzalishe tu awe singo maza halafu muanze kusema singo maza Mara hivi Mara vile
kweli kabisa, hawa hawa ndo huja na maneno lukuki kuhusu single maza's
 
Cha kwanza , nayachukia mapenzi mnooo, mbili nawachukia wanaumeee woteeeee, tatuuu sitaki kuolewa kwasababu sioni umuhimu wa hilo jambo....

Japo kuolewa ni heshima
 
Cha kwanza , nayachukia mapenzi mnooo, mbili nawachukia wanaumeee woteeeee, tatuuu sitaki kuolewa kwasababu sioni umuhimu wa hilo jambo....

Japo kuolewa ni heshima
Huwezi kuwachukia wanaume wote kwa ajili ya mmoja au wawili
 
Back
Top Bottom