ney kaaya
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 447
- 354
kwani umri sahihi ni upi?huwa wanakuja wamechelewa sana mkuu huku umri ukiwa ushatupa mkono.
kwani umri sahihi ni upi?huwa wanakuja wamechelewa sana mkuu huku umri ukiwa ushatupa mkono.
Endelea kula ila chunga xn ucje ukaliwaUmri naotamani Mungu anisaidie niolewe bado haujafka... Afu ctak kufanya fashion i want the man i wll spend the rest of my life with to be my everything na cyo nije nijute buree... So bado nipo nakula ujana

Mtu sahihi ni yukoje?mtu sahihi hajapatikana
Hawapatikani au huwaoni?sijampata mwandani wangu.
Unafikiri ipo siku uchumi utasettle?Uchumi tuu bado sija settle
Kanisa haliwezi kumharibu binti sema hamkuendanaKanisa imeharibu Binti niliyetaka kuoa. Yaani, Muda wote yeye church tu.
Binafsi sina dini yoyote hapa duniani wala cha imani ya dini za kigeni.
Kanisa haliwezi kumharibu binti sema hamkuendana
Una uhakika wewe ni sahihi kwa mtu sahihi???mtu sahihi hajapatikana
Mmoja wapo ni Mimi naogopa mno maisha ya ndoa japo c vyema kuchukulia ndoa nyingne kama case study bnafc nayaogopa sana napenda nmzalishe tu mtu nimlee akiwa kwake na Mimi nikiwa kwangu basiKiwatengu habari ya siku nyingi mkuu, hilo swali umeuliza kirahisi lakini ni swali linalowashinda wengine sana, wengi watasema uchumi, ooh sijapata mwenzi sahihi huku ana boyfriend/ girlfriend mwingine atakuambia sijapata mwandani huku kuna mwanamke huwa anakuja kulala kwake na kufanya shughuli zote za ndani kama make hapa unaweza vurugwa, wengi tunaogopa Maisha ya ndoa kutokana na tunayoyaona kwa wengine au kusimuliwa. Wengine ujana anaona akioa/kuolewa kuna mambo ambayo ameyazoea atayakosa au atabanwa hapa utapewa majibu mepesi tu ila ukweli ndio huo