Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Huwa Napata ukakasi sana ninapoona hilo swali hapo juu..! Hivi wazazi huwa wanataka Mjukuu ama Mtoto wao Aoe.? Yaani kipi cha muhimu Mtoto ama Ndoa.! Seriously mm naona kuwa na mtoto na wazazi wangu kuitwa Gran (Mom&Papa) ndo kina umuhmu sana kuoa mmhh may be mawazo yabadlike huko mbele
Wazazi wanataka vyote: ndoa na mjukuu. Ikitokea ndoa imeshindikana basi mjukuu hata kama siyo rasmi. Kumbuka wazazi wanapendezwa kijana wao kuoa au binti kuolewa kwasababu inaleta heshima kwenye familia.
 
Lengo la ndoa ni kujenga familia! Ila siku hizi,kuna malengo mapya yamebuniwa na Mabibi Harusi...........
 
Mi sina lingine isipokuwa kumsubiria Heaven Sent
 
Back
Top Bottom