Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

kwa sababu nikitaka kipochi manyoya kinapatikana kwa urahisi tu.
 
Kila jambo na wakati nilitamani kutimiza miaka ishirini iliyopita nimekuja kutimiza miaka ishirini sasa
 
Duh.. mimi kwasababu sijapata mtu sahihi na ni traveller niko here and there
 
Kama unahusika,

Ni kipi hasa kilicho/kinachokuzuia usioe au usiolewe mpaka sasa.
Sioni faida ya kuoa sababu kwnza PAPUCHI nazipata kwa urahisi mno...pili wake za watu nawatafuna sana tu..tatu hata hao wanaume na wanawake waliopo KWENYE ndoa kutwa tunapishana nao GUEST HOUSE wakiwa na wapenzi ambao sio wake ZAO au waume ZAO...kwahyo sioni faida ya kuwa na mke wakati PAPUCHI naipata ....na ukioa unawatunzia WATU
 
Sioni faida ya kuoa sababu kwnza PAPUCHI nazipata kwa urahisi mno...pili wake za watu nawatafuna sana tu..tatu hata hao wanaume na wanawake waliopo KWENYE ndoa kutwa tunapishana nao GUEST HOUSE wakiwa na wapenzi ambao sio wake ZAO au waume ZAO...kwahyo sioni faida ya kuwa na mke wakati PAPUCHI naipata ....na ukioa unawatunzia WATU
Utabaki hapo kijana. Oa uanzishe familia acha kuiga mambo ambayo huna uhakika nao
 
Utabaki hapo kijana. Oa uanzishe familia acha kuiga mambo ambayo huna uhakika nao
Mimi ushahidi wangu ni kama ushahidi wa BUBU au MTOTO MDOGO....huwa hata mahakamani hauna SHAKA...Mimi Nina watoto 3 na wote naishi nao mwenyewe... Ila sioni faida ya kuoa...ukitaka kuthibitisha hilo....siku chukuwa simu wa MKEO na wewe MPE simu yako...mbadilishane kama siku tatu..kama nyumba haijageuka UWANJA WA FUJO.....mke anagegedwa na wewe unagegeda nje...sasa faida ya kuoa nn?au upate mwenzio wa kusaidiana kufukuza mbu usiku?au unaogopa KULALA peke yako?ndoa za Leo nyingi watu hawajuwi kwann wanaoa au wanaolewa....
c74b8482d69dad036986aac403b496a4.jpg
 
Back
Top Bottom