ney kaaya
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 447
- 354
siko kabisa kwenye mahusianona mtu sahihi kwako ni yupi?unataka haupo kabisa mahusiano au upo kwenye mahusiano lakini focus sio ndoa?
siko kabisa kwenye mahusianona mtu sahihi kwako ni yupi?unataka haupo kabisa mahusiano au upo kwenye mahusiano lakini focus sio ndoa?
Haaaaahhh haaaaahhhh...Jinsia yako please?
Pole sana choupa motingMpenz wangu alishafariki . Tena dah usinilize![]()
hongera sanaSoon ...
Among of the good reason.Upatikanaji au kusex bila tabu ndio kunafanya watu wasioe/kuolewa laiti kama ingekuwa kuna kizuizi kuwa no marriege no sex wote tungeoa kinachofanya tusahau kufuga ng'ombe ni kwakuwa bila hata kufuga maziwa tunakunywa.
Kuna shela nimeliona, nahisi litamfaa yule mdoli niliyekuletea juzi.Hahah Tania basi
Unatumia vigezo gani kujua huyu ndio mtu sahihi!?mtu sahihi hajapatikana
Swali gumu sana hili kiwatengu japo umeliuliza kirahisi sana
hahahahhahhahaaaahahahhahhahahhaha wewe ni shidaaaaaaaaaaaahhhhhMimi nina file na historia ya mapenzi ya kila mmoja hapa JF!![]()
Jibu bana, pamoja na proposal zote
proposal za wapi wewe mbona sijawahi kupata hata moja