Mara nyingi huwa najiuliza sana kazi ya kidole hicho. Kazi ya dole gumba ni dhahili inafahamika kwamba ni kwa ajiri ya salamu , mtu akikunyoshea ina maana anakupa dole kwamba mambo yake safi.
kidole kinachofuata ni kwa ajiri ya kuonya , mtu akikunyoshea ina maana ukome na tabia yako. Kidole cha nne inafahamika dhahiri ni kwa ajiri ya pete , mtu akivaa pete kidole hicho ina ana mumewe . hali kadharika kidole cha mwisho nacho pia ni cha uchumba .
Utata unakuja kwenye kidole cha tatu yaani cha kati juu ya kazi yake , na kwa nini mtu akionyeshwa inakuwa kesi.
Kwa yule asiyefahamu nashauri afanye jaribio ukikutana na kijana yoyote au mzee umuonyesha kidole hicho halafu mwangalie usoni . Lakini kama mtu anafahamu sababu hasa ya kidole hicho kuhusishwa na dhana ya matusi ni nini , atujuze na wengine wafahamu .
kidole kinachofuata ni kwa ajiri ya kuonya , mtu akikunyoshea ina maana ukome na tabia yako. Kidole cha nne inafahamika dhahiri ni kwa ajiri ya pete , mtu akivaa pete kidole hicho ina ana mumewe . hali kadharika kidole cha mwisho nacho pia ni cha uchumba .
Utata unakuja kwenye kidole cha tatu yaani cha kati juu ya kazi yake , na kwa nini mtu akionyeshwa inakuwa kesi.
Kwa yule asiyefahamu nashauri afanye jaribio ukikutana na kijana yoyote au mzee umuonyesha kidole hicho halafu mwangalie usoni . Lakini kama mtu anafahamu sababu hasa ya kidole hicho kuhusishwa na dhana ya matusi ni nini , atujuze na wengine wafahamu .