Nini husababisha hii kitu?

Nini husababisha hii kitu?

Mimi sio mweupe ni maji ya kunde ila wasukuma woii😄🙌 tena mimi hadi kazi zinafanana (DME + Msukuma) na nakutana nao mikoa tofauti.. nashangaaga sana
 
Mimi kidg karibu nifanane na wewe japo mimi story yangu ni kwenye majina. Nina majina kama matano hivi ambayo wanawake wote ninaotokea kudate nao lazima waangukie kwenye hayo majina, yani hayo majina huwa yananifuata tu. Kila nikidate na mrembo fulani unakuta jina lake lipo kwenye cyle ileile. Cjui kama wanaume wenzangu hii kitu imewakumba au ni mimi tu.
Ni mimi na najina ya kina Anneth...ishanitokea zaid ya mara nne
 
Back
Top Bottom