Nini husababisha hii kitu?

Nini husababisha hii kitu?

Unachokijaribu kukiwasilisha hapa niliwahi kukipitia, Katika maisha yangu nimepevuka wasichana nilio date nao ni wachaga. Wasichana wa makabuka mengine hatukai hata mwezi tushazinguana ila nikipata mrembo wa kichaga Mahusiano yanakaa sana hadi nimejikuta Nauliza kabila la mtu kabla sijaingia sana maana hawa wachaga nimewashindwa ila sasa ndio hao huwa nadumu nao angalau. Ila sasa hivi natafuta dada wa kidigo au Wanyamwezi sema ndio hivyo hiyo Bahati hamna.
 
Mimi huwa nawablock, nimeblock wapumbavu kana 50 hivi, nani kawaambia nataka matangazo? Saa zingine unaacha kazi zako za maana unaenda kutazama text, unafikiri ni muamala kumbe ni upumbavu unaoitwa matangazo.
dah mitandao ya simu wanazingua simu zetu wamegeuza viwanja vya matangazo na TCRA wanaangalia tu mi kwa siku napokea sms za matangazo ata 20 zinafika
 
Unachokijaribu kukiwasilisha hapa niliwahi kukipitia, Katika maisha yangu nimepevuka wasichana nilio date nao ni wachaga. Wasichana wa makabuka mengine hatukai hata mwezi tushazinguana ila nikipata mrembo wa kichaga Mahusiano yanakaa sana hadi nimejikuta Nauliza kabila la mtu kabla sijaingia sana maana hawa wachaga nimewashindwa ila sasa ndio hao huwa nadumu nao angalau. Ila sasa hivi natafuta dada wa kidigo au Wanyamwezi sema ndio hivyo hiyo Bahati hamna.
Na unaweza usipate au ukapata msidumu
 
Wasukuma (k) ni asilimia 14 ya Watanzania, kwa hiyo lazima wakutongoze
 
Kuna ile hali hutokea kila anaekutongoza ni kabila fulani yani hata mahusiano yako unakuta upo na mtu wa kabila hilo hilo ukija ex nao unakuta walikuwa hilo kabila yani wakija makabila mengine ni kwa uchache sana ila sasa kuna hilo kabila kila ukienda ivi upo nalo ukigeuka uko nalo, same kwa wanaume unakuta kila akitongoza sehemu akakolea ni kabila fulani kila ukiingia uhusiano unazama kwa hilo kabila.
Kwanini lakini inakuwa hivi?? 🤔
Kama ni wachagaa unapenda hela sister
 
Back
Top Bottom