Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,505
- 27,501
Nafikiri una sifa flani wanazopenda au upo maeneo walipo wengi (sample space kubwa ya random selection).Chaga
Au Wana sifa fulani unazozipenda.
Nafikiri una sifa flani wanazopenda au upo maeneo walipo wengi (sample space kubwa ya random selection).Chaga
🤣🤣🤣🤣 na wakuitwa P-DIDY wao kila jambo ni maagano ya ukooMhmmm wewe kila kitu maagano
kuna UZI p-diddy aliletaga anasema kuna mipanya humo ndani kwake haifi anahisi ina maagano ya kishetani anataka kuikemeaHahahha yani hata panya akipita tu utasikia maagano😆
Hiyo ni bahati nasibu tuKuna ile hali hutokea kila anaekutongoza ni kabila fulani yani hata mahusiano yako unakuta upo na mtu wa kabila hilo hilo ukija ex nao unakuta walikuwa hilo kabila yani wakija makabila mengine ni kwa uchache sana ila sasa kuna hilo kabila kila ukienda ivi upo nalo ukigeuka uko nalo, same kwa wanaume unakuta kila akitongoza sehemu akakolea ni kabila fulani kila ukiingia uhusiano unazama kwa hilo kabila.
Kwanini lakini inakuwa hivi?? 🤔
huyo huyoPdidy huyu mnywa bia?
Huyo bwashee wangu atakua yupo vibe mkuu ndio maana anaropoka🤣huyo huyo
ahhaaa wapi huyo mpk NDOA ilimshindaga anasema wanamaagano inabidi wayavunje ukoo wao wote wakioa kuolewa hawadumuHuyo bwashee wangu atakua yupo vibe mkuu ndio maana anaropoka🤣
Kumbe😆ahhaaa wapi huyo mpk NDOA ilimshindaga anasema wanamaagano inabidi wayavunje ukoo wao wote wakioa kuolewa hawadumu
Meku nipasishie mmoja niwoweMimi kidg karibu nifanane na wewe japo mimi story yangu ni kwenye majina. Nina majina kama matano hivi ambayo wanawake wote ninaotokea kudate nao lazima waangukie kwenye hayo majina, yani hayo majina huwa yananifuata tu. Kila nikidate na mrembo fulani unakuta jina lake lipo kwenye cyle ileile. Cjui kama wanaume wenzangu hii kitu imewakumba au ni mimi tu.
Nakumbuka nikiwa olevo mama mmoja mlokole alikuwa anauza duka hapo shuleni,Naona roho ya ubishi ndani yako🤣
Kabila gani hua wanakunyapia sanaAisee 🤔
Ni hilo lako 😀Kabila gani hua wanakunyapia sana
Umesafiri umeenda kuishi kimara au mbezi 😂😂Sasa we unaishi Arusha alafu Ngarenaro au majengo kwanini kila demu unaemtongoza asiwe mrangi
Kama ni kabila langu bas naweza kuhisi baadhi ya vitu kuhusu wwNi hilo lako 😀