Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

Noel france

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
1,159
Reaction score
1,054
Ndugu zangu Watanzania ama watanganyika,naona vibaya hata kuandika hii barua kutokana na mambo yanavyoendelea kutoka kwa wadau mbali mbali na pia naweza kuwaita wazalendo waliojitolea kututoa matongotongo machoni,na kutuzibua masikio.

Sasa naweza kusema inatosha kwa sasa viongozi hawana nia nzuri na hii nchi na hawana ni huruma na watanzania wapo kwa maslahi ya familia zao.

Laiti kama jeshi letu linajitambia na lipo kwa maslahi ya taifa letu basi leo tulipaswa kuona wale wote waliotajwa kwenye kashfa na mh. Polepole wakichukuliwa hatua kabla ya kuchakachua taarifa.

Taarifa muhimu kama kuchezewa mifumo ya uchaguzi ni zaidi ya uahini na watu kama mh jk kuwa sehemu ya serikali ni mbaya sana,kutokana na yanyoendele katika taifa letu.

Pia nimemsikiliza Mh. Dr. Slaa kiukweli inaumiza nikiwa raia wa hii nchi.
Naliamuru jeshi lijitafakari na wananchi tunapaswa kutafakari pia si kila kitu kusubiri ngoja tuone itakuwaje,hawa watu wamejipanga aswa na wameamua kushika utawala ili kuendelea kuficha wizi wao.

Pia nasikia yule bwana anaitwa asasi mwenye dipromatic passport ni mkwe na mh jk. Ambaye ni alitambulishwa na Rais wetu ye ndiyo Boss wake tofauti na sisi kwa mujibu wa katiba.View attachment 3452130View attachment 3452132
 

Attachments

  • 20250825_132434.jpg
    20250825_132434.jpg
    55.8 KB · Views: 20
  • IMG-20250824-WA0004.jpg
    IMG-20250824-WA0004.jpg
    29.3 KB · Views: 23
Mkuu Raia hana mamlaka kikatiba kumuamrisha Rais,waziri, mkurugenzi, kiongozi yeyote.
Hapa unaleta siasa.

Mamlaka yapo kisheria hayapo kama unavyosema hapa

Raia mpaka waungane wawe wengi ndio inaitwa nguvu ya umma. Lakini sio mtu mmoja mmoja kama hivi
 
Ndugu zangu Watanzania ama watanganyika,naona vibaya hata kuandika hii barua kutokana na mambo yanavyoendelea kutoka kwa wadau mbali mbali na pia naweza kuwaita wazalendo waliojitolea kututoa matongotongo machoni,na kutuzibua masikio.

Sasa naweza kusema inatosha kwa sasa viongozi hawana nia nzuri na hii nchi na hawana ni huruma na watanzania wapo kwa maslahi ya familia zao.

Laiti kama jeshi letu linajitambia na lipo kwa maslahi ya taifa letu basi leo tulipaswa kuona wale wote waliotajwa kwenye kashfa na mh. Polepole wakichukuliwa hatua kabla ya kuchakachua taarifa.

Taarifa muhimu kama kuchezewa mifumo ya uchaguzi ni zaidi ya uahini na watu kama mh jk kuwa sehemu ya serikali ni mbaya sana,kutokana na yanyoendele katika taifa letu.

Pia nimemsikiliza Mh. Dr. Slaa kiukweli inaumiza nikiwa raia wa hii nchi.
Naliamuru jeshi lijitafakari na wananchi tunapaswa kutafakari pia si kila kitu kusubiri ngoja tuone itakuwaje,hawa watu wamejipanga aswa na wameamua kushika utawala ili kuendelea kuficha wizi wao.

Pia nasikia yule bwana anaitwa asasi mwenye dipromatic passport ni mkwe na mh jk. Ambaye ni alitambulishwa na Rais wetu ye ndiyo Boss wake tofauti na sisi kwa mujibu wa katiba.View attachment 3452130View attachment 3452132
Hii post inatakiwa KUFUTWA haraka sana kwani Jeshi letu lenye nidhamu na weledi wa hali ya juu linapokea Amri na maelekezo kutoka kwa mtu mmoja tu ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu na si vinginevyo!!
 
Mkuu Raia hana mamlaka kikatiba kumuamrisha Rais,waziri, mkurugenzi, kiongozi yeyote.
Hapa unaleta siasa.

Mamlaka yapo kisheria hayapo kama unavyosema hapa

Raia mpaka waungane wawe wengi ndio inaitwa nguvu ya umma. Lakini sio mtu mmoja mmoja kama hivi
Naam, watanzania tunataka tuing'oe ccm bila kuhusika,
 
Hii post inatakiwa KUFUTWA haraka sana kwani Jeshi letu lenye nidhamu na weledi wa hali ya juu linapokea Amri na maelekezo kutoka kwa mtu mmoja tu ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu na si vinginevyo!!
Mimi na wewe tunaweza liliamuru jeshi letu kwasabu linawajibika kwa ajili yangu na yako pia
 
Ndugu zangu Watanzania ama watanganyika,naona vibaya hata kuandika hii barua kutokana na mambo yanavyoendelea kutoka kwa wadau mbali mbali na pia naweza kuwaita wazalendo waliojitolea kututoa matongotongo machoni,na kutuzibua masikio.

Sasa naweza kusema inatosha kwa sasa viongozi hawana nia nzuri na hii nchi na hawana ni huruma na watanzania wapo kwa maslahi ya familia zao.

Laiti kama jeshi letu linajitambia na lipo kwa maslahi ya taifa letu basi leo tulipaswa kuona wale wote waliotajwa kwenye kashfa na mh. Polepole wakichukuliwa hatua kabla ya kuchakachua taarifa.

Taarifa muhimu kama kuchezewa mifumo ya uchaguzi ni zaidi ya uahini na watu kama mh jk kuwa sehemu ya serikali ni mbaya sana,kutokana na yanyoendele katika taifa letu.

Pia nimemsikiliza Mh. Dr. Slaa kiukweli inaumiza nikiwa raia wa hii nchi.
Naliamuru jeshi lijitafakari na wananchi tunapaswa kutafakari pia si kila kitu kusubiri ngoja tuone itakuwaje,hawa watu wamejipanga aswa na wameamua kushika utawala ili kuendelea kuficha wizi wao.

Pia nasikia yule bwana anaitwa asasi mwenye dipromatic passport ni mkwe na mh jk. Ambaye ni alitambulishwa na Rais wetu ye ndiyo Boss wake tofauti na sisi kwa mujibu wa katiba.View attachment 3452130View attachment 3452132
Nefa in Afuganistani. Kwanza wanamiliki kadi za chama
 
Wazalendo wa nchi nitumie fursa hii kuwaomba kusimama na watanzania kwa nia njema na maslahi mapana ya nchi yetu,nawaomba kusimama na wanachi tafadhali sana nawaombeni
 
Swali moja kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi yetu,hivi nikweli mnaamini nchi salama ikiwa kiongozi mkubwa wa upinzani yupo gerezani tena kwa kesi ambayo naweza kusema ni ya kisiasa?

Nasema ya kisiasa kwa sababu kuu moja mpinzani wake ni muoga hadi kimvuli chake anakiogopa.

Imefika hatua anavunja katiba ya chama chake kwa utaratibu wa nje ya katiba yao. Utaratibu wa yeye kupita kuwa mgombea pekee pasipo na utarabu sahihi kwa mujibu wa katiba yao.
Hivi ni kweli vyombo vyetu vinashinda kuisaidia nchi yetu?
 
Kwa haya yanayoendelea nchini vyombo vyote vya ulinzi na usalama wanatakiwa wajitafakari sana. Haiwezekani taifa lifanyiwe mambo ya kipumbavu namna hii halafu tuamini mzalendo wa kweli nchi hii ni Polepole pekee
 
Ndugu zangu Watanzania ama watanganyika,naona vibaya hata kuandika hii barua kutokana na mambo yanavyoendelea kutoka kwa wadau mbali mbali na pia naweza kuwaita wazalendo waliojitolea kututoa matongotongo machoni,na kutuzibua masikio.

Sasa naweza kusema inatosha kwa sasa viongozi hawana nia nzuri na hii nchi na hawana ni huruma na watanzania wapo kwa maslahi ya familia zao.

Laiti kama jeshi letu linajitambia na lipo kwa maslahi ya taifa letu basi leo tulipaswa kuona wale wote waliotajwa kwenye kashfa na mh. Polepole wakichukuliwa hatua kabla ya kuchakachua taarifa.

Taarifa muhimu kama kuchezewa mifumo ya uchaguzi ni zaidi ya uahini na watu kama mh jk kuwa sehemu ya serikali ni mbaya sana,kutokana na yanyoendele katika taifa letu.

Pia nimemsikiliza Mh. Dr. Slaa kiukweli inaumiza nikiwa raia wa hii nchi.
Naliamuru jeshi lijitafakari na wananchi tunapaswa kutafakari pia si kila kitu kusubiri ngoja tuone itakuwaje,hawa watu wamejipanga aswa na wameamua kushika utawala ili kuendelea kuficha wizi wao.

Pia nasikia yule bwana anaitwa asasi mwenye dipromatic passport ni mkwe na mh jk. Ambaye ni alitambulishwa na Rais wetu ye ndiyo Boss wake tofauti na sisi kwa mujibu wa katiba.View attachment 3452130View attachment 3452132
Kwa Tanzania hata wakuu wa vyombo vya usalama ni makada kindakindaki na wanamarupurupu ya kufa mtu, ili mradi mambo yao yanaenda hawawezi kamwe kutii amri yako
 
Acha utoto!
Mimi na wewe nani anapaswa kuacha utoto.
Wewe huwezi kuelewa wala hupiti mateso wanaopitia wananchi wengine wa taifa hili. Kwa sababu kuu moja wewe ni mnufaika kwa namna moja ama nyingine na utawala huu wa kishetani.
Huwezi kuhisi maumivu kama yale wanayopitia wale wote waliopoteza ndugu zao kupitia utawala huu.
Unawambia nini waliye mpoteza Kibao,ben saanane,soka,mdude, eti kisa kumkosoa raisi ama kuikosea serikali kwa kufanya mambo ya kitoto tofauti na utashi wake.
 
Back
Top Bottom