Nini hatima ya Ofisi ya Spika iliyojengwa Urambo?

Acha majungulism babu aliwashika vizuri!........me naona hakuna shida mbona chalinze yalijengwa magorofa ambayo hata wakaaji kulikuwa hakuna Enzi zile? swala la msingi hiyo ni ofisi ya serikali siyo ya mtu binafisi......na kaa ukijua wakati ule hakuwa na ofisi ya maana sasa alipopata uspeaker ndo alipoona ni vyema ajenge ofisi ya mbunge ambayo ilitafasiliwa kuwa ni ya spika na watu kama wewe......mpaka sasa ofisi hii ni ya mbunge!
 
halafu naye anataka kuwa rais Samweli Sitta hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa maana ni fisadi sasa akiwa rais si atasema Ikulu ijengwe URAMBO?poor sitta wewe ni fisadi wa raslimari za taifa urais si saiz yako
 
Hiyo ofisi inatumika kupigia majungu.

majungu ya mitandao ya CCM.Mengine cyajui ila nachujua hii sio ofisi tena,ni ofisi ya Mbunge.kibaya zaidi hela za mfuko wa jimbo hutumika kulipa recurrent expenditure za jengo kinyume kabisa na sheria.Ukihoja hilo Katibu wa mbunge anampigia simu Sita alafu anakupa simu uongee nae.Sitta mbabe sana aisee
 
Hii nchi some time inauma sana, Juzi kati nilikuwa Wilayani Mwanga, Huwez amini kuna wanafunzi wanasomea chini ya miti, hakuna Madarasa, inauma sana ilando hivyo
 
Kama haitumika itakuwa ni uharibifu mkubwa wa kodi yetu.
Milion 170 ukichukulia wastani wa dawati moja kugharimu TShs 100,000 inamaana madawati 1,000 yangelipatikana kwa ajili ya watoto wetu hapo jimboni. Sina imani kama shule zote za msingi na sekondari hapo jimboni zina madawati ya kutosha na vitabu
 
Acha majungulism babu aliwashika vizuri!........me naona hakuna shida mbona chalinze yalijengwa magorofa ambayo hata wakaaji kulikuwa hakuna Enzi zile? swala la msingi hiyo ni ofisi ya serikali siyo ya mtu binafisi......na kaa ukijua wakati ule hakuwa na ofisi ya maana sasa alipopata uspeaker ndo alipoona ni vyema ajenge ofisi ya mbunge ambayo ilitafasiliwa kuwa ni ya spika na watu kama wewe......mpaka sasa ofisi hii ni ya mbunge!
No wonder the country is backsliding kwa sababu watu kama nyinyi mpo. Yaani hujaona tatizo hapo na unatetea as if ni sawa tu?
 
sasa hizo fedha sizingeenda kuchimba visima,kuteneneza madawati jamani,alafu wanasema maisha bora kwa kila Mtanzania 'to hell' MAGAMBA 2015.
 
Mwishoni mwa uspika wa Samwel Sitta, serikali ilijenga ofisi ya spika wa bunge Urambo Tabora ambako ni jimboni kwa spika wa wakati huo mheshimiwa Samweli Sitta. Maswali yangu ni haya:

1. Samweli Sitaa siyo spika tena. Je anaitumia ofisi hiyo au hapana? Na kama ndio anaitumia kama nani na kwa shughuli z
zipi?
2. Spika wa sasa Anna Makinda ameshaitumia ofisi hiyo mara ngapi? Na kama haitumii ni kwanini?!
3. Je utaratibu wa kujenga ofisi kwenye kila jimbo analotoka spika utaendelea?
4. Je ilikusudiwa Sitta awe spika wa kudumu mpaka kufa kwake?
5. Kama ofisi hiyo haitumiki na spika aliyepita na aliyepo ni ya nini? Inafaa kuendelea kuwepo? kwanini isigeuzwe darasa
shule au ghala la kuhifadhia asali?
Kwa ajili ya kumbukumbu: Jengo hili ni ofisi ya Mbunge na si ofisi ya Spika
 
halafu naye anataka kuwa rais Samweli Sitta hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa maana ni fisadi sasa akiwa rais si atasema Ikulu ijengwe URAMBO?poor sitta wewe ni fisadi wa raslimari za taifa urais si saiz yako

Akiwa Raisi Atajenga IKULU Tabora na Kuamishia shughuli zote huko.
 
Mwishoni mwa uspika wa Samwel Sitta, serikali ilijenga ofisi ya spika wa bunge Urambo Tabora ambako ni jimboni kwa spika wa wakati huo mheshimiwa Samweli Sitta. Maswali yangu ni haya:

1. Samweli Sitaa siyo spika tena. Je anaitumia ofisi hiyo au hapana? Na kama ndio anaitumia kama nani na kwa shughuli z
zipi?
2. Spika wa sasa Anna Makinda ameshaitumia ofisi hiyo mara ngapi? Na kama haitumii ni kwanini?!
3. Je utaratibu wa kujenga ofisi kwenye kila jimbo analotoka spika utaendelea?
4. Je ilikusudiwa Sitta awe spika wa kudumu mpaka kufa kwake?
5. Kama ofisi hiyo haitumiki na spika aliyepita na aliyepo ni ya nini? Inafaa kuendelea kuwepo? kwanini isigeuzwe darasa
shule au ghala la kuhifadhia asali?

haya mambo CCM ndio wanapenda, ndio maana hawaelewi inakuwa Spika wa Bunge asiye mbunge? halafu ukiwauliza Adam Sappi Mkwawa alikuwa mbunge wa jimbo gani wanabaki wanauma maneno...kaazi kweli kweli
 
Naomba kujuzwa ofisi hiyo ilijengwa kwa fedha zipi!...je iliwekwa kwenye bajeti ya Bunge au ni fedha za mfuko wa jimbo?

Pia ni muhimu kujua ni akina nani waliidhinisha hiyo bajeti ya kujenga ofisi ya spika Urambo?
 
Kwa ajili ya kumbukumbu: Jengo hili ni ofisi ya Mbunge na si ofisi ya Spika
Kwa hiyo kabla ya ofisi hii kujengwa hakuwa na ofisi kama mbunge? Na je kwanini ajengewe yeye tu mbona hatujasikia mwendezo wa wabunge wengine kujengewa ofisi mbali ya kutumia majengo mengine ya serikali katika makao makuu ya wilaya au mkoa?
 
Naona kuna wadau wanaojaribu kuonesha kuwa ile ni ofisi ya mbunge ambaye ni spika. Lakini hawasemi kabla ya hapo alikuwa akitumia ofisi ipi.Maana wabunge wengi wanatumia majengo ya serikali kwenye makao makuu ya wilaya au mikoa kama ofisi. Swali kubwa hapa ni kuwa ni ofisi ngapi za wabunge zenye hadhi kama ya Urambo zimejengwa kwenye majimbo mengine? Na ni kwanini walianza na jimboni kwa Sitta na si kwenye majimbo kama Kalenga alikotoka spika wa kwanza Adam Sapi Mkwawa au Ukerewe?
 
Back
Top Bottom