nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,802
- 4,458
Hoja zingine majibu yake yanahitaji kutulia na kuwahusisha wahusika.
Hata wewe umeshindwa kujibu? Magamba = 0 (sifuri) Badala ya kujenga hospitali mnaongeza mikoa. You are so foolish!
Hoja zingine majibu yake yanahitaji kutulia na kuwahusisha wahusika.
Wanaoafiki waseme ndiooooooooHuyu mhe (rip) alijenga ofisi ya spika jimboni kwake urambo,inatumika kwa shughuli gani?
napendekeza ifanywe dispensary au itafutiwe matumizi mengine ya umma
Maoni yako mazuri mkuu......viongozi wetu wanajua kweli kutumia Kofi zetu.......ni maoni yangu tu
ndioooooo......Wanaoafiki waseme ndioooooooo
Dunia tunapita tuu tuwekeze kule ambako mchaa hawatakula hazina yakoPicha IPO wapi?
iparamasa