Nini hasa lengo la hii Press ya Fr. Kitima siku ya leo?

Nini hasa lengo la hii Press ya Fr. Kitima siku ya leo?

kwa watanzania ni haya yafuatayo;
1.Ni nani aliagiza watu wapigwe risasi na kuuawa vile?
2.Wapigaji risasi wale ni wakina nani na wapo wapi?
3.Ni kwanini uchaguzi ufanyike kwa namna OVU kwa kiwango kile?
4.Watu waliokufa wapo wapi?
5.Wataongozaje taifa la watu wasiowataka?
6.Ni nani anayeteka na kuua watanzania?
Waliotekwa wapo wapi?

Haya maswali wayatafakari na wayazingatie
 
Ndio waliokuwa wanalipa vijana wafanye vurugu ambayo ndio ilileta hayo mauaji.
Haya maelezo yanahitaji uthibitisho kutoka kwako. Na siyo Fr. Kitima ambaye hahusiki nayo.
 
Mpango wa TEC ni kutetea Watanzania wote wa dini zote, kila daraja, vijana, wazee na wasio na sauti.

Walipokea majeruhi wakataka kuwatibu wakaambiwa wapelekwe mochwari. Unajua maana yake? Kuzika au kuwamaliza watu walio hai?
Kama kweli ayo yalitokea kunasababu Gani yeye kuyasema sasaivi wakati Nchi inaelekea kuponya majeraha.
Kuna vitu havisemwi si kwasababu mtu anaiogopa serikali hapana, ila kwakua ukivisema kwa Sasa ni kutia petrol kwenye moto unao elekea kuzimika.
Kitima hakuvisema kwa bahati Mbaya amekusudia kuleta taharuki.
Usi fikiri watu wamefurahia jinsi serikali ilivyo Fanya kabla na baada ya uchaguzi ila kwasasa wenye akili wote focus Yao ni upatikane utulivu kwanza na baada ya muda tuelezane ukweli.

Watu wanajua mambo mengi ya hovyo yaliyofanyika lakini kwa Hali iliyopo Sasa ukiyaweka wazi ni kutaka ku iripua Nchi.

Nchi kwanza mengine baadae.
 
Binafsi nadeclare interest ni Mkatoliki pia sijawahi na kiukweli nimeumizwa na yale yaliyotokea 29/10.

Hapa katikati kulikuwa na fukuto kubwa la kidini baada ya kauli na waraka wa TEC. Siku zikapita na lile joto kuisha na kila mtu anaimba HAKI kuelekea D9.

Gen Z wakafanikiwa kuuzima moto wa kidini kuelekea D9 na watu wote wenye dini na wasio na dini wakawa kitu kimoja. Sasa from nowhere anaibuka Kitine na kuanza kuongea tena?

Binafsi sijajua lengo la hii kitu, naona anaenda kuamsha tena uhasama wa kidini ambao ulishazikwa kuelekea D9.

Binafsi naona uhasama wa kidini na machafuko ya kidini tena na sio against serikali ambayo Binafsi nayaunga mkono.

Kwa hii movie ya leo, viongozi wa TEC wametukosea sana watanzania. Mungu atusaidie na kutuepusha juu ya agenda ya viongozi wetu wa TEC.
View attachment 3510178
Kula ignore
 
Binafsi nadeclare interest ni Mkatoliki pia sijawahi na kiukweli nimeumizwa na yale yaliyotokea 29/10.

Hapa katikati kulikuwa na fukuto kubwa la kidini baada ya kauli na waraka wa TEC. Siku zikapita na lile joto kuisha na kila mtu anaimba HAKI kuelekea D9.

Gen Z wakafanikiwa kuuzima moto wa kidini kuelekea D9 na watu wote wenye dini na wasio na dini wakawa kitu kimoja. Sasa from nowhere anaibuka Kitine na kuanza kuongea tena?

Binafsi sijajua lengo la hii kitu, naona anaenda kuamsha tena uhasama wa kidini ambao ulishazikwa kuelekea D9.

Binafsi naona uhasama wa kidini na machafuko ya kidini tena na sio against serikali ambayo Binafsi nayaunga mkono.

Kwa hii movie ya leo, viongozi wa TEC wametukosea sana watanzania. Mungu atusaidie na kutuepusha juu ya agenda ya viongozi wetu wa TEC.
View attachment 3510178
HUWEZI KUELEWA,KWASASA HUNA AKILI HIYO.
 
Kama kweli ayo yalitokea kunasababu Gani yeye kuyasema sasaivi wakati Nchi inaelekea kuponya majeraha.
Kuna vitu havisemwi si kwasababu mtu anaiogopa serikali hapana, ila kwakua ukivisema kwa Sasa ni kutia petrol kwenye moto unao elekea kuzimika.
Kitima hakuvisema kwa bahati Mbaya amekusudia kuleta taharuki.
Usi fikiri watu wamefurahia jinsi serikali ilivyo Fanya kabla na baada ya uchaguzi ila kwasasa wenye akili wote focus Yao ni upatikane utulivu kwanza na baada ya muda tuelezane ukweli.

Watu wanajua mambo mengi ya hovyo yaliyofanyika lakini kwa Hali iliyopo Sasa ukiyaweka wazi ni kutaka ku iripua Nchi.

Nchi kwanza mengine baadae.
Redio unakosea sana. Unapataje utulivu, amani kama huwezi kuzika mpendwa wako?

Kama hujui nani alimuua mtoto wako, hujui ukweli, unaponyaje Taifa? Moyo wa binadamu unahitaji majibu kutulia.

Father Kitima anawakilisha mioyo ya wapendwa wetu, sauti ya wafiwa wote Watanzania wa dini zote, kabila zote, vijana na wazee wote. Ni sauti ya busara, hekima, Mungu.

Wengine wote, wananchi wote mmewafungia. Mnateka tukisema msituteke, tuna9mba haki, umoja mnatuua. Kitima mlitaka kumuua.
 
Redio unakosea sana. Unapataje utulivu, amani kama huwezi kuzika mpendwa wako?

Kama hujui nani alimuua mtoto wako, hujui ukweli, unaponyaje Taifa? Moyo wa binadamu unahitaji majibu kutulia.

Father Kitima anawakilisha mioyo ya wapendwa wetu, sauti ya wafiwa wote Watanzania wa dini zote, kabila zote, vijana na wazee wote. Ni sauti ya busara, hekima, Mungu.

Wengine wote, wananchi wote mmewafungia. Mnateka tukisema msituteke, tuna9mba haki, umoja mnatuua. Kitima mlitaka kumuua.
Vitendo vya maandamano ya kijambazi ndio vilipelekea vyombo kutumia silaha za moto.
Bila silaha za moto kutumika mpaka Sasa DAR ingekua jivu.
Maharamia wa maandamano na uporaji yalipelekea ata wasio husika kupigwa Risasi.
 
Binafsi nadeclare interest ni Mkatoliki pia sijawahi na kiukweli nimeumizwa na yale yaliyotokea 29/10.

Hapa katikati kulikuwa na fukuto kubwa la kidini baada ya kauli na waraka wa TEC. Siku zikapita na lile joto kuisha na kila mtu anaimba HAKI kuelekea D9.

Gen Z wakafanikiwa kuuzima moto wa kidini kuelekea D9 na watu wote wenye dini na wasio na dini wakawa kitu kimoja. Sasa from nowhere anaibuka Kitine na kuanza kuongea tena?

Binafsi sijajua lengo la hii kitu, naona anaenda kuamsha tena uhasama wa kidini ambao ulishazikwa kuelekea D9.

Binafsi naona uhasama wa kidini na machafuko ya kidini tena na sio against serikali ambayo Binafsi nayaunga mkono.

Kwa hii movie ya leo, viongozi wa TEC wametukosea sana watanzania. Mungu atusaidie na kutuepusha juu ya agenda ya viongozi wetu wa TEC.
View attachment 3510178

Wewe unakubaliana kuwa Marehemu hawahesabiwi kama anavyodai Mwigulu?

Waache TEC watuhojie.
 
Vitendo vya maandamano ya kijambazi ndio vilipelekea vyombo kutumia silaha za moto.
Bila silaha za moto kutumika mpaka Sasa DAR ingekua jivu.
Maharamia wa maandamano na uporaji yalipelekea ata wasio husika kupigwa Risasi.
Maandamano yapo duniani kila wiki London, Paris, New York.

Yanaongozwa na Stewards, Security, polisi. Kwanini tusifanye kama wenzetu?
 
Apa am
Maandamano yapo duniani kila wiki London, Paris, New York.

Yanaongozwa na Stewards, Security, polisi. Kwanini tusifanye kama wenzetu?
Apa amna wa andamanaji zaidi ya wezi wanao haribu uwekezaji wa raia.
Kwa namna maandamano yalivyo fanyika imetia doa maana mzima ya maandamano.
 
Apa am

Apa amna wa andamanaji zaidi ya wezi wanao haribu uwekezaji wa raia.
Kwa namna maandamano yalivyo fanyika imetia doa maana mzima ya maandamano.
Kwanini yasingeongozwa na polisi, jeshi, kulinda waandamaaji na mali za raia?
 
Sisi tunashukuru kumsikia Fr leo. Kwanza alitutenga muda mrefu sana. Mpaka tukapata wasiwasi kuwa labda wamemnyamazisha. Mungu aendelee kumpa afya na uhai mrefu.
 
Binafsi nadeclare interest ni Mkatoliki pia sijawahi na kiukweli nimeumizwa na yale yaliyotokea 29/10.

Hapa katikati kulikuwa na fukuto kubwa la kidini baada ya kauli na waraka wa TEC. Siku zikapita na lile joto kuisha na kila mtu anaimba HAKI kuelekea D9.

Gen Z wakafanikiwa kuuzima moto wa kidini kuelekea D9 na watu wote wenye dini na wasio na dini wakawa kitu kimoja. Sasa from nowhere anaibuka Kitine na kuanza kuongea tena?

Binafsi sijajua lengo la hii kitu, naona anaenda kuamsha tena uhasama wa kidini ambao ulishazikwa kuelekea D9.

Binafsi naona uhasama wa kidini na machafuko ya kidini tena na sio against serikali ambayo Binafsi nayaunga mkono.

Kwa hii movie ya leo, viongozi wa TEC wametukosea sana watanzania. Mungu atusaidie na kutuepusha juu ya agenda ya viongozi wetu wa TEC.
View attachment 3510178
Lengo la interview hii kati ya katibu wa TEC na mwandishi wa habari, si jingine bali ni kutolea maelezo ya ziada tamko la Baraza la Maaskofu wa Kanisa Catholic walilolitoa wiki chache zilizopita kulaani mauaji ya halaiki ya trh 29/10 na kupendekeza njia ya kufuata kwenda mbele

Kwamba, serikali ikiri na kukubali kuwa watu waliouwawa kwa kupigwa risasi za moto na vyombo vya serikali yenyewe. Na baada ya ukiri huo, tuingie kwenye kutafuta sababu na wahusika na uuaji ule Ili WAWAJIBIKE kisiasa na kisheria

By the way, kwani wewe katika mazungumzo yale umeona element zozote za udini? Mimi sijaona kabisa

Mbona amezungumza mambo ya kawaida kabisa yasiyo na mlalo wala kushambulia dini nyingine yoyote?

Waislamu ndio tatizo. Wao kila wanapoitisha Press Conference, maneno yao hushambulia dini zingine na viongozi wao direct

Lakini hili, waandishi wa habari wenyewe wamemfuata father Charles Kitima ofisini kwake na kufanya naye hii interview
 
Kuna sehemu kataja díní ya mtu?

Inaonekana amewachoma sana leo.

Mpaka mtawajibika kwa mlioyafanya
 
Huyo Padre Kitima na Rais wa TEC nafikiri wako kwenye Payroll ya Ford Foundation lakini nafikiri hawajui vizuri waumini wa RC huwa hawapelekeshwi na matamko ya kigaidi watawaacha solemba tu. Wao waendelee tu na ugaidi wao.
Kaka wmbu tutolee theory za kijinga. Kaa waumin wa catholic wangeamua wangewakataa tokea kipindi cha jk

But here we are, watu wanawasikiliza na church wanaenda kama kawa

Wamenyoooka black is black , white is white

Mambo ya ford foundation ukiambiwa uka prove can you?
 
Padre Kitima uwezo wake ni level nyingine ...
 
TOKEA KANISA KATOLIKI WABANWE PALE BANDARINI WAMEZIDISHA CHUKI NA SERIKALI HUSUSANI SAMIA

WAVAA MAGAUNI WANANUKA CHUKI NA GAUNI ZAO ZILIZOJAA UCHAFU WA MASTERBATION
 
Back
Top Bottom