Nini hasa lengo la hii Press ya Fr. Kitima siku ya leo?

Nini hasa lengo la hii Press ya Fr. Kitima siku ya leo?

Huyo Padre Kitima na Rais wa TEC nafikiri wako kwenye Payroll ya Ford Foundation lakini nafikiri hawajui vizuri waumini wa RC huwa hawapelekeshwi na matamko ya kigaidi watawaacha solemba tu. Wao waendelee tu na ugaidi wao.
Hao Ford foundation ndiyo waliokuwa wanawapiga na kuwaua maelfu wananchi kwa risasi za moto siyo ile tarehe 29!

Ndiyo hao hao wanaotrka raia na kuwaua kila siku! Ndiyo hao hao waliopika yale matokeo ya uchaguzi feki wa tarehe 29!
 
Muafaka huwa hautafutwi kwa kuegemea upande mmoja waadhirika wapo walioibiwa na kuchomea mali zao na hao wafanya vurugu, kuwa neutral alipashwa kuongelea hii issue generally siyo kama alivyoongea akiwaongelea wafanya vurugu tu.
Kipi kiwe kipaumbele waliopoteza maisha, majeruhi, waliopotezwa, waliotupwa jela, wanaotafuta maiti za wapendwa wao au mali zilizoharibika?

Wewe ungekuwa umepoteza familia yako ungesema haya?
 
Binafsi nadeclare interest ni Mkatoliki pia sijawahi na kiukweli nimeumizwa na yale yaliyotokea 29/10.

Hapa katikati kulikuwa na fukuto kubwa la kidini baada ya kauli na waraka wa TEC. Siku zikapita na lile joto kuisha na kila mtu anaimba HAKI kuelekea D9.

Gen Z wakafanikiwa kuuzima moto wa kidini kuelekea D9 na watu wote wenye dini na wasio na dini wakawa kitu kimoja. Sasa from nowhere anaibuka Kitine na kuanza kuongea tena?

Binafsi sijajua lengo la hii kitu, naona anaenda kuamsha tena uhasama wa kidini ambao ulishazikwa kuelekea D9.

Binafsi naona uhasama wa kidini na machafuko ya kidini tena na sio against serikali ambayo Binafsi nayaunga mkono.

Kwa hii movie ya leo, viongozi wa TEC wametukosea sana watanzania. Mungu atusaidie na kutuepusha juu ya agenda ya viongozi wetu wa TEC.
View attachment 3510178


NYIE NYUMBU NA MAFISI MMESHINDWA KUJIBU HOJA ZA KITINE. JIBUNI HOJA MAFISI KOKO NYIE.
 
Hapa RC ni tofauti na huko, hapa wanasema ukweli, na kutaka watu waliou watanzania wawajibike. Una lingine kwa ufafanuzi wa ziada?
Issue nyingine ni kuwa as long as kuna allegation kuwa Padre Kitima yuko kwenye Payroll ya Ford Foundation basi anatakiwa atumie busara achane na haya mambo waseme wengine huko RC kwa kuwa hii inaongeza udini kwenye issue hii.
 
Binafsi nadeclare interest ni Mkatoliki pia sijawahi na kiukweli nimeumizwa na yale yaliyotokea 29/10.

Hapa katikati kulikuwa na fukuto kubwa la kidini baada ya kauli na waraka wa TEC. Siku zikapita na lile joto kuisha na kila mtu anaimba HAKI kuelekea D9.

Gen Z wakafanikiwa kuuzima moto wa kidini kuelekea D9 na watu wote wenye dini na wasio na dini wakawa kitu kimoja. Sasa from nowhere anaibuka Kitine na kuanza kuongea tena?

Binafsi sijajua lengo la hii kitu, naona anaenda kuamsha tena uhasama wa kidini ambao ulishazikwa kuelekea D9.

Binafsi naona uhasama wa kidini na machafuko ya kidini tena na sio against serikali ambayo Binafsi nayaunga mkono.

Kwa hii movie ya leo, viongozi wa TEC wametukosea sana watanzania. Mungu atusaidie na kutuepusha juu ya agenda ya viongozi wetu wa TEC.
View attachment 3510178

Nini maana ya Mama kuongea na wazee wa Dar!! mjinga jinga
 
RC Kule DRC na Rwanda limeshiriki sana tu kwenye mauaji ya Kimbali kwa hiyo usiwaamini sana hao viongozi huwa wananunuliwa sana tu kwani hukumbuki kwenye issue ya kina Rwegamira maaskofu walipokea pesa za rushwa.
Sheikh Sharifu Majini alipigwa risasi ya tako wakati jana yake alitoka kubwabwaja hotuba sijui kisomo kutaka wanaompinga mama Wanu wauawawe. Hata wewe utafikiwa tu.
 
Hao Ford foundation ndiyo waliokuwa wanawapiga na kuwaua maelfu wananchi kwa risasi za moto siyo ile tarehe 29!

Ndiyo hao hao wanaotrka raia na kuwaua kila siku! Ndiyo hao hao waliopika yale matokeo ya uchaguzi feki wa tarehe 29!
Ndio waliokuwa wanalipa vijana wafanye vurugu ambayo ndio ilileta hayo mauaji.
 
Binafsi nadeclare interest ni Mkatoliki pia sijawahi na kiukweli nimeumizwa na yale yaliyotokea 29/10.

Hapa katikati kulikuwa na fukuto kubwa la kidini baada ya kauli na waraka wa TEC. Siku zikapita na lile joto kuisha na kila mtu anaimba HAKI kuelekea D9.

Gen Z wakafanikiwa kuuzima moto wa kidini kuelekea D9 na watu wote wenye dini na wasio na dini wakawa kitu kimoja. Sasa from nowhere anaibuka Kitine na kuanza kuongea tena?

Binafsi sijajua lengo la hii kitu, naona anaenda kuamsha tena uhasama wa kidini ambao ulishazikwa kuelekea D9.

Binafsi naona uhasama wa kidini na machafuko ya kidini tena na sio against serikali ambayo Binafsi nayaunga mkono.

Kwa hii movie ya leo, viongozi wa TEC wametukosea sana watanzania. Mungu atusaidie na kutuepusha juu ya agenda ya viongozi wetu wa TEC.
View attachment 3510178
We si mkatoliki kwa sababu haujasimama kwenye ukweli.
 
Sheikh Sharifu Majini alipigwa risasi ya tako wakati jana yake alitoka kubwabwaja hotuba sijui kisomo kutaka wanaompinga mama Wanu wauawawe. Hata wewe utafikiwa tu.
Karibu sana. Ila uje umejipanga vizuri mkuu.
 
Issue nyingine ni kuwa as long as kuna allegation kuwa Padre Kitima yuko kwenye Payroll ya Ford Foundation basi anatakiwa atumie busara achane na haya mambo waseme wengine huyo RC kwa kuwa hii inaongeza udini kwenye issue hii.
Weka pesa za Ford Foundation zinalipwaje, na ushahidi wa lini ililipwa na kwa kina nani. Yaani Padre akae kimya, wakati rais ametangazwa kwa kura za uongo yupo madarakani, na bado kafanya mauaji ya kimbari? Ama mnadhani bado kuna vilaza wa kuwaambia account ya mtu inaweza kupokea 5b, bila mpokeaji kwenda kuweka maelezo ya hiyo hela BoT?
 
TEC kunakitu wanataka kitokee ila baada ya kuona wahamasishaji Wana feli, Wamekuja na uo mpango wa kumwita mwandishi na kujifanya anahojiwa.
Ujumbe wa TEC upo wazi , wanahitaji maandamano ili serikali ipinduliwe.
Kuna Maneno yametamkwa katika mahojiano ya father Kitima ni ya ki mkakati wa kupandisha wananchi hasira na kuyakumbuka mauaji waliyo Anza kuyapotezea.

Maana yake anachochea hasira na maandamano.

Anasema vijana wasikilizwe madai Yao na waraka uo ukiusoma unadai kuto itambua serikari n.k

Kitu ninacho amini ikiwa TEC na Father Kitima mpango wao wa maandamano ya kuipindua serikali uki kwama watakuja na plan nyingine muda si mrefu.

Nawaomba wale wa Dini ya upande wa pili kwasasa watulie, wamesha jionea namna wenzao wanavyo force vurugu.

TEC na Kitima hawatafanikiwa ni swala la muda tu.

Iyo Dini ya upande wa pili illkiweza kustahimili tu, ili jambo litakufa kifo cha Asili na Nchi itarudi kuwa shwari.

Nashauri hotuba ya Rais atakapo kutana na wazee wa DAR asiwagusie kabisa TEC afanye kama hajasikia ita ongeza utulivu.

TEC Wamekuja ki mkakati wanataka majibizano na Serikali kuleta taharuki na vurugu.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Tumeshasema haya mambo ya udini mnayaleta nyie kenge huko serikalini ili kuficha maovu yenu. Hivi ni kipi alichoongelea huyo kitima Leo chenye mrengo wa dini? Kutekwa,kupotezwa ,kuuwawa , Haki , tume huru, katiba mpya , hivi hapo dini Iko wapi? Aise Kuna mi Tanzania mijinga sijawahi ONA huku duniani.
 
Weka pesa za Ford Foundation zinalipwaje, na ushahidi wa lini ililipwa na kwa kina nani. Yaani Padre akae kimya, wakati rais ametangazwa kwa kura za uongo yupo madarakani, na bado kafanya mauaji ya kimbari? Ama mnadhani bado kuna vilaza wa kuwaambia account ya mtu inaweza kupokea 5b, bila mpokeaji kwenda kuweka maelezo ya hiyo hela BoT?
Mkuu vipi na wewe ulipata nini pesa ya Ford Foundation ndio maana unataka niweke utaratibu wa upokeaji? Mimi sijui utaratibu.
 
TEC kunakitu wanataka kitokee ila baada ya kuona wahamasishaji Wana feli, Wamekuja na uo mpango wa kumwita mwandishi na kujifanya anahojiwa.
Ujumbe wa TEC upo wazi , wanahitaji maandamano ili serikali ipinduliwe.
Kuna Maneno yametamkwa katika mahojiano ya father Kitima ni ya ki mkakati wa kupandisha wananchi hasira na kuyakumbuka mauaji waliyo Anza kuyapotezea.

Maana yake anachochea hasira na maandamano.

Anasema vijana wasikilizwe madai Yao na waraka uo ukiusoma unadai kuto itambua serikari n.k

Kitu ninacho amini ikiwa TEC na Father Kitima mpango wao wa maandamano ya kuipindua serikali uki kwama watakuja na plan nyingine muda si mrefu.

Nawaomba wale wa Dini ya upande wa pili kwasasa watulie, wamesha jionea namna wenzao wanavyo force vurugu.

TEC na Kitima hawatafanikiwa ni swala la muda tu.

Iyo Dini ya upande wa pili illkiweza kustahimili tu, ili jambo litakufa kifo cha Asili na Nchi itarudi kuwa shwari.

Nashauri hotuba ya Rais atakapo kutana na wazee wa DAR asiwagusie kabisa TEC afanye kama hajasikia ita ongeza utulivu.

TEC Wamekuja ki mkakati wanataka majibizano na Serikali kuleta taharuki na vurugu.

Mpango wa TEC ni kutetea Watanzania wote wa dini zote, kila daraja, vijana, wazee na wasio na sauti.

Walipokea majeruhi wakataka kuwatibu wakaambiwa wapelekwe mochwari. Unajua maana yake? Kuzika au kuwamaliza watu walio hai. Unakubaliana na haya?
 
Back
Top Bottom