Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,956
- 4,147
Watanzania anzeni kurudisha kadi za CCM kwa Ma DC haraka iwezekanavyo
Kufanya hivyo, kutamfanya Rais Samia kuachia Ikulu kwa sababu, kati ya vitu ambavyo hawezi kuvumilia kabisa kufanya kazi na kila mteule wake, ni cadi za CCM tu kurudishwa kwenye ofs zao
Na ili bandari zetu zipone, dawa ni ndogo sana, ni kurudisha kadi za CCM kwenye ofisi zao pale Lumumba na kwenye ofisi za wakuu wa wilaya na mikoa
Jambo hilo halitamuacha salama Rais wetu na kisha ataachia ngazi fasta
Hongera wananchi wa Mtwara kufanya tukio hilo la kishujaa na kuigwa
Kufanya hivyo, kutamfanya Rais Samia kuachia Ikulu kwa sababu, kati ya vitu ambavyo hawezi kuvumilia kabisa kufanya kazi na kila mteule wake, ni cadi za CCM tu kurudishwa kwenye ofs zao
Na ili bandari zetu zipone, dawa ni ndogo sana, ni kurudisha kadi za CCM kwenye ofisi zao pale Lumumba na kwenye ofisi za wakuu wa wilaya na mikoa
Jambo hilo halitamuacha salama Rais wetu na kisha ataachia ngazi fasta
Hongera wananchi wa Mtwara kufanya tukio hilo la kishujaa na kuigwa