Ninatafuta kazi au kibarua cha kulipwa kwa siku.
Joined
Mar 21, 2024
Posts
16
Reaction score
10
Habari zenu wanaJF nipo Dsm natafuta kazi au kibarua cha kulipwa kwa siku. Iwe saidia fundi, bandarini, kiwandani au kazi yoyote ya halali. Elimu yangu ni shule ya msingi. Napatikaa Mbezi makabe. Natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Back
Top Bottom