bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,705
Mama T anakazi gani??? Spendeki na sagurasagura mimi..Acha wivu Hujapata anaekupenda najua
Mama T anakazi gani??? Spendeki na sagurasagura mimi..Acha wivu Hujapata anaekupenda najua
Hahahaaaa,,,,,,,sawa mkuu umpe tu hakuna namnaNitampa hata anyonye
Mpende na wewe utapata raha zaidiAsante ananipenda mno kaniambia Hataki niwe na hudhuni
I know love ukipendwa ni raha sana.....enjoy mamii kwa raha zakoMpaka naandika ananipenda mno Nna Akili timamu
Nilijua peke yangu mkuuSijaelewa hiyo flow ya muda kwenye missed calls aise...
Yani nimekupenda bure na huo msimamo wako! Sikiliza moyo wako loveAll I know ananipenda sitaki kusikia
Spartacus? Anyway mapenzi yapo ili tuenjoy. Enjoy mama while it lasts.Yaan ni mwanaume wa pili kunipa raha humu wa kwanza Anaanza na sp......... Wa pili huyu Anaanza na Na. ............ Anajijua wengine wote hawajaweza
Hongera sana mamiiNna Msimamo mimi
Kuelekezwa? Ndio nini? Ndo maana nimekwambia awae yeyote enjoy the moment while it lasts. Hayo mengine ya kuelekezana siyajuiHahaha Najua mind yako unaelekezwa,
Uwe na Siku njema
kapeaceHongera sana jifurahishe maisha mafupi