Ninapendwa mie

Ninapendwa mie

Hivi mwanaume unaanzaje kutwanga simu mfululizo hivyo? Mpz? Huyo jamaa wa wapi?

Aah wapi, Dina umeleta uzi kumpaka jamaa mafuta, kisa hukupokea simu zake for whatever reasons ili aone unampenda pia, naamini you're doing something wrong unajikosha kwake ili a-cool down.

Anyway, wengine tumezoea critics ila hongera kupendwa.
Hupigiwagi simu ee
 
Hua ni rahis sana kuonesha watu yule unaempenda but ninachojua mm hakuna anaependa kulizwa when something goes wrong....

Alaf mama missed col sio kipimo cha upendo....sometimes hutumika kama njia ya kuaminisha.
Ahsante.
Nimetafutwaaa
 
Laiti ungejua siri yetu wanaume. Lkn mwanamke kazi ndogo kumdanganya. Hahahaha
 
Hii whatsapp yako kiboko aisee..

kuna message imetumwa 8:52pm ila ipo juu ya missed call ya 8:51pm

Missed call ya 8:14 pm ipo chini ya missed call ya 8:51 pm. Unajua umenifanya mpaka nikaenda kuangalia simu yangu ila bado sijaelewa.
ka photoshop huyu
 
Huu uzi nahisi umeanzishwa kwa lengo la kumrusha roho mtu fulani humu.. Ndio mambo ya wasichana hayo... Ni kuyazoea tu na kukubali kuwa ndivyo walivyo..

NB: Just my sixth sense, nothing personal!
Tumewaza sawia, Dina mjanja sana.
 
Sipendi mtu kunipigia simu nyingi, nikiona missed call moja nitaelewa kuwa ananitafuta.
Huyu hata apige mia nilimpigia Maana simu ilikuwa imezima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom