Real estate ndo biashara ganiChief wekeza kwenye real estate hio pesa faida yake utafanywa vurugu zote mjini na mtaji upo pale utajenga nyumba,utanunua usafiri,utafungua zipu na chupa za bia na ofisi still inatembea huku ukifungua KILA aina ya biashara uitakayo.
Real estate haina hasara Wala pressure we ni kula tu pesa zinaingia.
Hio 200 inazaa bilioni moja kwa mwaka.
Mkuu hardware lazima iwe ya ujenzi tu au ata ya vifaa vya magariVifaa vya ujenzi
Kununua mashamba unayapa thamani kisha unauza, nyumba za kupangisha,frem za kupangisha,na vyoote vinayohusu ardhi.Real estate ndo biashara gani
Unafilisika mkuu Yan huachi akiba ningekua mie ndio ww ml 100 ningeweka fixed ac ya miaka miwili hiyo ngine ningefanyia matumizi mengineHabari wakuu nisiwachoshe naombeni ushauri kwa mpangilio huu nilio upanga baada ya kulipwa pesa zangu nilizo fwatilia kwa mda mrefu kiasi cha shilingi 200M.
Nimepanga kama ifuatavyo
1.40M kujenga nyumba ya ndoto zangu
2.40M nimeweka kwaajili ya kununua usafiri gari
3.20M kwajili ya matumizi binafsi ya hapa na pale
4.100M Biashara ambapo nimegawa kama ifuatavyo
1.30M nataka kufungua Pharmancy mkoani
2.20M wakala Mpesa, tigo, na bank
Then Hii 50M bado inahang hang sijaipatia nini cha kufanya naombeni ushauri na kuboresha wapi na wapi.
Ki vipi faida ataingiza kwenye real estateChief wekeza kwenye real estate hio pesa faida yake utafanywa vurugu zote mjini na mtaji upo pale utajenga nyumba,utanunua usafiri,utafungua zipu na chupa za bia na ofisi still inatembea huku ukifungua KILA aina ya biashara uitakayo.
Real estate haina hasara Wala pressure we ni kula tu pesa zinaingia.
Hio 200 inazaa bilioni moja kwa mwaka.
Fungua maabara ya kisasa na yenye vifaa vya kutosha....Naomba hiyo 50M, pia tutumie wote hiyo 20M.....
Kwa kuuza au kupangisha nyumba,ardhi,frem, godown nk.Ki vipi faida ataingiza kwenye real estate
Huyu HaMachiach anatumia picha yangu bila ruksa hajui kuwa mwenzie nimeisotea Butimba. Magufuli mwenyewe ali blooUna undugu na Stuxnet ?
Id yenyewe ccm halafu unataka aje pm? Kwahiyo mmekubaliana na mama nyuki kuwa mtaanza kula kwelikweli?Dah...ukiungana na mm nakupeleka kwenye u billionaire chap. Fanya kunitimbia inbox!
Hio hela kwa kila mwezi unaweza kuzalisha sh mil 30 net; kwa mwaka unakunja sh mil 360 net
Ulifanikiwa kupata zile gari za mizigo kama scania 30 ulizotaka zikupelekee mzigo Dar..Habari wakuu nisiwachoshe naombeni ushauri kwa mpangilio huu nilio upanga baada ya kulipwa pesa zangu nilizo fwatilia kwa mda mrefu kiasi cha shilingi 200M.
Nimepanga kama ifuatavyo
1.40M kujenga nyumba ya ndoto zangu
2.40M nimeweka kwaajili ya kununua usafiri gari
3.20M kwajili ya matumizi binafsi ya hapa na pale
4.100M Biashara ambapo nimegawa kama ifuatavyo
1.30M nataka kufungua Pharmancy mkoani
2.20M wakala Mpesa, tigo, na bank
Then Hii 50M bado inahang hang sijaipatia nini cha kufanya naombeni ushauri na kuboresha wapi na wapi.
Kaweke Real estate kwenye maeneo yasiyoeleweka kama hujapangishia mizimu na ukoo wenuKwa kuuza au kupangisha nyumba,ardhi,frem, godown nk.
Serious investor hawekezi hovyo KILA sehemuKaweke Real estate kwenye maeneo yasiyoeleweka kama hujapangishia mizimu na ukoo wenu
Kwa style hii NHC wangekuwa number 1 kwenye gawio la serikali.Chief wekeza kwenye real estate hio pesa faida yake utafanywa vurugu zote mjini na mtaji upo pale utajenga nyumba,utanunua usafiri,utafungua zipu na chupa za bia na ofisi still inatembea huku ukifungua KILA aina ya biashara uitakayo.
Real estate haina hasara Wala pressure we ni kula tu pesa zinaingia.
Hio 200 inazaa bilioni moja kwa mwaka.
Hivi unafikiri Real estate ni kama mpangilio wa nyanya useme utachukua tu hata kama ni ronya ronya?Serious investor hawekezi hovyo KILA sehemu
Kiwanja ninacho tayari na tofari 3000 za kuanzia40mln nyumba ya ndoto zako?!! Labda useme tu 40mln unaziingiza kwenye ujenzi.
Gharama za ujenzi kwa Sasa ziko juu sana Mkuu,kuanzia cement hadi nyaya za umeme licha ya kua tuna viwanda vingi!!
Ila kama ujenzi tu wa nyumba sawa,toa neno ya ndoto yako!!