Ninaomba ushauri kwa haya mapendekezo ya 200M

Ninaomba ushauri kwa haya mapendekezo ya 200M

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,450
Reaction score
6,211
Habari wakuu nisiwachoshe naombeni ushauri kwa mpangilio huu nilio upanga baada ya kulipwa pesa zangu nilizo fwatilia kwa mda mrefu kiasi cha shilingi 200M.
Nimepanga kama ifuatavyo
1.40M kujenga nyumba ya ndoto zangu
2.40M nimeweka kwaajili ya kununua usafiri gari
3.20M kwajili ya matumizi binafsi ya hapa na pale
4.100M Biashara ambapo nimegawa kama ifuatavyo
1.30M nataka kufungua Pharmancy mkoani
2.20M wakala Mpesa, tigo, na bank
Then Hii 50M bado inahang hang sijaipatia nini cha kufanya naombeni ushauri na kuboresha wapi na wapi.
 
Mkuu kuhusu hio hamsini,

■tuungane tuchukue frem kariakoo, tulipe kodi na kilemba, then tufanye business

Au

■tuungane..tufanye uwakala mkuu wa vinyawaji baridi.

Kama hautakuwa tayari kwa hizo mbili

■Fungua hardware, ila ni vizuri usimamie mwenyewe

Ukiwa tayari, pm iko wazi mkuu.

Pia hio 20m ya m pesa na uwakala, think twice, usalama na na location...kwa sababu una 30m ya pharmacy, ni bora uchukue hio 50m + 20m = 70m ili ufungue bonge la hardware..huwez lala njaa forever
 
Hapo amna cha maana ulichowaza,.
Yan unawaza mpesa wakt unamtaji mkubwa ivo, mpesa ni kwaajili ya watu wenye mitaji midg midg
.
Duka madawa sawa[emoji736][emoji736] lkn pia unaweza fungua hardware au duka la vitambaa vya nguo au vya sofa kwa mtaji huo ulionao na utatoka haraka sana.
 
Hapo amna cha maana ulichowaza,.
Yan unawaza mpesa wakt unamtaji mkubwa ivo, mpesa ni kwaajili ya watu wenye mitaji midg midg
.
Duka madawa sawa[emoji736][emoji736] lkn pia unaweza fungua hardware au duka la vitambaa vya nguo au vya sofa kwa mtaji huo ulionao na utatoka haraka sana.
Ndio maana nmeomba ushauri na maboresho mkuu asante
 
Mkuu kuhusu hio hamsini,

■tuungane tuchukue frem kariakoo, tulipe kodi na kilemba, then tufanye business

Au

■tuungane..tufanye uwakala mkuu wa vinyawaji baridi.

Kama hautakuwa tayari kwa hizo mbili

■Fungua hardware, ila ni vizuri usimamie mwenyewe

Ukiwa tayari, pm iko wazi mkuu.

Pia hio 20m ya m pesa na uwakala, think twice, usalama na na location...kwa sababu una 30m ya pharmacy, ni bora uchukue hio 50m + 20m = 70m ili ufungue bonge la hardware..huwez lala njaa forever
Kkoo vurugu nyingi alafu mimi sio mzoefu hapo kkoo
 
Hapo amna cha maana ulichowaza,.
Yan unawaza mpesa wakt unamtaji mkubwa ivo, mpesa ni kwaajili ya watu wenye mitaji midg midg
.
Duka madawa sawa[emoji736][emoji736] lkn pia unaweza fungua hardware au duka la vitambaa vya nguo au vya sofa kwa mtaji huo ulionao na utatoka haraka sana.
Hardware ni aina ya biashara gani
 
Mkuu kuhusu hio hamsini,

■tuungane tuchukue frem kariakoo, tulipe kodi na kilemba, then tufanye business

Au

■tuungane..tufanye uwakala mkuu wa vinyawaji baridi.

Kama hautakuwa tayari kwa hizo mbili

■Fungua hardware, ila ni vizuri usimamie mwenyewe

Ukiwa tayari, pm iko wazi mkuu.

Pia hio 20m ya m pesa na uwakala, think twice, usalama na na location...kwa sababu una 30m ya pharmacy, ni bora uchukue hio 50m + 20m = 70m ili ufungue bonge la hardware..huwez lala njaa forever
Kkoo vurugu nyingi alafu mimi sio mzoefu hapo kkoo
 
Kkoo vurugu nyingi alafu mimi sio mzoefu hapo kkoo
Okey, lets join, tuinvest tupate uwakala mkuu wa azam, mo..tuuze vinywaji jumla.

Tofauti na hapo mkuu, hyo 20m ya uwakala acha kabisa,
Chukua hio 50 + 20 = 70m fungua hardware kubwa.

Hio 20m ya matumizi..chukua kidogo weka security cameras na software za mauzo ili usipigwe katika business zako za pharmacy na hardware.
 
Habari wakuu nisiwachoshe naombeni ushauri kwa mpangilio huu nilio upanga baada ya kulipwa pesa zangu nilizo fwatilia kwa mda mrefu kiasi cha shilingi 200M.
Nimepanga kama ifuatavyo
1.40M kujenga nyumba ya ndoto zangu
2.40M nimeweka kwaajili ya kununua usafiri gari
3.20M kwajili ya matumizi binafsi ya hapa na pale
4.100M Biashara ambapo nimegawa kama ifuatavyo
1.30M nataka kufungua Pharmancy mkoani
2.20M wakala Mpesa, tigo, na bank
Then Hii 50M bado inahang hang sijaipatia nini cha kufanya naombeni ushauri na kuboresha wapi na wapi.
Hebu qwka na bajeti ya fungu la kumi...sadaka.

Hiyo 5O peleka benki uchukue asilimia fulani, au BOT kwenye bond
 
Nyumba ya 40 M ya ndoto yako ni ipi?

Uko Mkoa gani?

Gari 40? Kwanini utumie gari la bei kubwa hivyo? Utaweza himili service charge zake?

Kwanini usichukue gari ya bei ndogo lakini nzuri kama.
 
Nyumba ya 40 M ya ndoto yako ni ipi?

Uko Mkoa gani?

Gari 40? Kwanini utumie gari la bei kubwa hivyo? Utaweza himili service charge zake?

Kwanini usichukue gari ya bei ndogo lakini nzuri kama.
Napenda gari za juu kidogo kwamfano Hariar, Vanguard nk
 
Achana na mpesa sijui nini, fungua maduka ya madawa sehemu tofauti tofauti mkuu
 
Dah...ukiungana na mm nakupeleka kwenye u billionaire chap. Fanya kunitimbia inbox!

Hio hela kwa kila mwezi unaweza kuzalisha sh mil 30 net; kwa mwaka unakunja sh mil 360 net
 
Chief wekeza kwenye real estate hio pesa faida yake utafanywa vurugu zote mjini na mtaji upo pale utajenga nyumba,utanunua usafiri,utafungua zipu na chupa za bia na ofisi still inatembea huku ukifungua KILA aina ya biashara uitakayo.
Real estate haina hasara Wala pressure we ni kula tu pesa zinaingia.
Hio 200 inazaa bilioni moja kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom