HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,450
- 6,211
Habari wakuu nisiwachoshe naombeni ushauri kwa mpangilio huu nilio upanga baada ya kulipwa pesa zangu nilizo fwatilia kwa mda mrefu kiasi cha shilingi 200M.
Nimepanga kama ifuatavyo
1.40M kujenga nyumba ya ndoto zangu
2.40M nimeweka kwaajili ya kununua usafiri gari
3.20M kwajili ya matumizi binafsi ya hapa na pale
4.100M Biashara ambapo nimegawa kama ifuatavyo
1.30M nataka kufungua Pharmancy mkoani
2.20M wakala Mpesa, tigo, na bank
Then Hii 50M bado inahang hang sijaipatia nini cha kufanya naombeni ushauri na kuboresha wapi na wapi.
Nimepanga kama ifuatavyo
1.40M kujenga nyumba ya ndoto zangu
2.40M nimeweka kwaajili ya kununua usafiri gari
3.20M kwajili ya matumizi binafsi ya hapa na pale
4.100M Biashara ambapo nimegawa kama ifuatavyo
1.30M nataka kufungua Pharmancy mkoani
2.20M wakala Mpesa, tigo, na bank
Then Hii 50M bado inahang hang sijaipatia nini cha kufanya naombeni ushauri na kuboresha wapi na wapi.