Nikola24
JF-Expert Member
- Aug 26, 2024
- 598
- 1,235
Aisee ndugu zangu ,hii sio masihara ni issue serious sana.
Ipo hivi, kila tatizo ninalopata nakimbilia kuuliza kwenye app ya chatGpt.Nimekuwa sijiamini Katika mawazo yangu binafsi.Pia nahisi IQ yangu inashuka .
Najihisi sina faida na najiona kuwa Bure kabisa.Sina motisha ya life.
Nataka niwe sawa. Kuhusu kuifuta chatgpt naona sio suluhisho ,labda mnipe idea nyingine! Wana nahitaji mawazo ya kibinadamu siendi kuuliza chatgpt.
Ipo hivi, kila tatizo ninalopata nakimbilia kuuliza kwenye app ya chatGpt.Nimekuwa sijiamini Katika mawazo yangu binafsi.Pia nahisi IQ yangu inashuka .
Najihisi sina faida na najiona kuwa Bure kabisa.Sina motisha ya life.
Nataka niwe sawa. Kuhusu kuifuta chatgpt naona sio suluhisho ,labda mnipe idea nyingine! Wana nahitaji mawazo ya kibinadamu siendi kuuliza chatgpt.