Nina tatizo kidogo na mnyama twiga

Takwimu za kuvutia na zilizovunja rekodi ya dunia.....
downloadfile-1.jpg
 
Umejaribu kuangalia nchi nyingine zilizofanikiwa ukaangalia zinatumia wanyama gani?? Refer nchi kama Australia, mnyama Kangaroo ana tofauti gani kubwa na huyo Twiga??
Je kwenye benki zilizofilisika zaidi ya Twiga Bancorp hakuna nyingine???
Panua mawazo kdg!!
 
Umejaribu kuangalia nchi nyingine zilizofanikiwa ukaangalia zinatumia wanyama gani?? Refer nchi kama Australia, mnyama Kangaroo ana tofauti gani kubwa na huyo Twiga??
Je kwenye benki zilizofilisika zaidi ya Twiga Bancorp hakuna nyingine???
Panua mawazo kdg!!
Panua ya kwako sio yangu its totally insane kumfananisha Kangaroo na twiga, kwa nguvu speep na namna ya kutembea nknk
Kufilisika kwa kitu kuna factor nyingi... Hii mada nimeandikia to those who are meant to be great thinkers.. Ikikuchanganya just know that you are not among them
 
Umejibu haki kabisa, Lakini ni mpole sana. Anaweza kuivusha idara na nchi kwa' ujumla? Kumbuka CIA alama yake ni Tai. Tai hawezi mkamata Hua (Njiwa)?
Hizi ni nchi mbili tofauti kabisa Kumbuka
 
Ukitaka maendeleo temana na rangi hizi tatu kijani na blue yaan utakuwa fukara wa mali ila unajua kabisa ninj cha kufanya ili uendelee. Rangi nyeusi inajaza hofu na woga wa kujaribu ndio maana tupo radhi kuwapa wawekezaji hata miradi ambayo serikali inaweza kuifanya. mfano gas na madidi. ukitaka maendeleo tumia rangi hizi Nyekundu na Nyeupe yaani Nyeupe Upendo fura amani
Nyekundu. Ujasiri Ushindani na Hukumu. baba umewini. Twiga hawezi kuwa nembo halafu ukaendelea

Ndio maana mi Naitwa Kipanga boy
 
Kwa kuongezea mnyama Twiga, hatembei kama wanyama wengine wenye miguu minne .

Yeye miwili ya upande mmoja huenda mbele kwa pamoja, kisha na upande mwingine vivyohivyo.
 
Ukitaka maendeleo temana na rangi hizi tatu kijani na blue yaan utakuwa fukara wa mali ila unajua kabisa ninj cha kufanya ili uendelee. Rangi nyeusi inajaza hofu na woga wa kujaribu ndio maana tupo radhi kuwapa wawekezaji hata miradi ambayo serikali inaweza kuifanya. mfano gas na madidi. ukitaka maendeleo tumia rangi hizi Nyekundu na Nyeupe yaani Nyeupe Upendo fura amani
Nyekundu. Ujasiri Ushindani na Hukumu. baba umewini. Twiga hawezi kuwa nembo halafu ukaendelea

Ndio maana mi Naitwa Kipanga boy
 
Nakubaliana na hili kabisa inaathiri hata wananchi, waTz wanakuwa wastaarabu, wapole, wasiotaka bugdha etc kama twiga mwenyewe ambaye anamuwakilisha mTz kwenye ulimwengu wa roho. Asante Mshana Jr
 
Back
Top Bottom