Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,641
- 698,017
- Thread starter
- #101
Ungalipendekeza tumtumie mnyama gani sasa ktk maono yako binafsi......???..kama ulimuwaza twiga...kwa uvivu wake......sambamba na mifano uliyoitoa.....tuambie mbadala wake kwa binafsi yako.....
Kabla ya kuwaza mnyama wa kutumia tujenge misingi mingine Kwanza! Jina litakuja mwishoni