Vip umepata Cha kufanya Happ moroNinaomba kwa wenyeji wa Morogoro, nisaidieni biashara ambayo itanisaidia nipate faida, nina mtaji wa 2m, eneo ni Morogoro Mjini.
Msaada wenu wenyeji
Hi bisnss imeakaaje mkuu au unafanya ww mishe hzKilimo cha mpunga, kuuza pembejeo za kilimo
Unafanya biashara hii kwa hapa darHebu fuatilia mchele ifakara halafu tufanye biashara Niko Dar
Milioni 2 sawa na kilo 650 za mchele uwezi pata fwaida kwa mtaji huoUnafanya biashara hii kwa hapa dar
Kwa ushauri fanya biashara ya mgahawa apoNinaomba kwa wenyeji wa Morogoro, nisaidieni biashara ambayo itanisaidia nipate faida, nina mtaji wa 2m, eneo ni Morogoro Mjini.
Msaada wenu wenyeji
Maji wa m 2000,000,kwa biashara ya mchele ni kujicheleweshaFatilia mchele ifakara peleka dar kaka