Itakuwa rahisi kufuatilia nikimuweka mtu mana kama nilivyoeleza niko bush kikazKachukue meza kkoo (biashara ndogo)
Tafuta issue za kufunga gas kwenye magari. Iko top sana saiv ka indorse hiyo hela. Piga kazi.
Ni kewewe ni me au ke
Hebu kuwa serious kidogo Mkuu.Tafuta issue za kufunga gas kwenye magari. Iko top sana saiv ka indorse hiyo hela. Piga kazi.
Uweke mtu atayekuwa ananunua na kuweka kwenye meza kitu husika. Mfano unauza sandals za wadada, vijora, sandals za kiume au jeans inategemea wewe utafanya issue gani.Itakuwa rahisi kufuatilia nikimuweka mtu mana kama nilivyoeleza niko bush kikaz
ok ni PM binti yanguNi ke
Kama hujui uliza. Acha kusweka ubongo ndani na kujifanya mjuzi.Hebu kuwa serious kidogo Mkuu.
Hivi Million 7 afungue biashara ya kufunga gesi kwenye magari?
Aiseee!.
Mtego huu 😄ok ni PM binti yangu
Napokea ushauri unaweza pia nishaur kilicho boraHebu kuwa serious kidogo Mkuu.
Hivi Million 7 afungue biashara ya kufunga gesi kwenye magari?
Aiseee!.
Ahsante sana ubarikiwrUweke mtu atayekua ananunua na kuweka kwenye meza kitu husika. Mfano unauza sandals za wadada, vijora, sandals za kiume au jeans inategemea ww utafnya issue gani. Cha msingi ujue kupoint vitu vizuri vya kuweka mezani, ni biashara nzuri.
Ya Gas ni poa pia. Maana hela yako itanunua vifaa. Hivyo. Mkifunga gas tu gari tayari unajua faida ako.
kwa nini nduguMtego huu 😄
Ufunge gas kwenye magari kwa mtaji wa mkaaKachukue meza kkoo (biashara ndogo)
Tafuta issue za kufunga gas kwenye magari. Iko top sana saiv ka indorse hiyo hela. Piga kazi.
Unantisha🤣Mtego huu 😄
Ww ushawahi funga gas kwenye gari?Ufunge gas kwenye magari kwa mtaji wa mkaa
Gesi unaijua weweKachukue meza kkoo (biashara ndogo)
Tafuta issue za kufunga gas kwenye magari. Iko top sana saiv ka indorse hiyo hela. Piga kazi.
Kuliko kuweka mtu, bora utunze pesa yako, kama huna muda wa kusimamia biashara endelea ku save pesa.Itakuwa rahisi kufuatilia nikimuweka mtu mana kama nilivyoeleza niko bush kikaz
Nashkuru sana tatizo niko maeneo yenye mvua chache kilimo ni kubahatisha mno.Kafanye kilimo kinalipa ila fanya utafiti kwanza na usiweke hela yote huko, unaweza hata kuanza kidogo kidogo ( Jembe halimtupi mkulima)
Pia Angalia maeneo uliyopo na pia fursa gani zingine watu wanazichukulia poa, zifanye kwa umakini then boom unapata hela ya kuzungushia maisha
Kuliko kuweka mtu, bora utunze pesa yako, kama huna muda wa kusimamia biashara endelea ku save pesa.
Utakuja kulia kilio cha mbuzi asie na wazazi😁