Mzee Mukaruka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 712
- 390
Sawa KAMBI POPOTE!Wakuu heshima zenu!!!
Bila kupoteza wakat niende kwenye point ya muhimu ilionifanya kufungua hii mada,, mm ni kijana mwenye miaka 20 na kwasasa nipo mwanga kilimanjaro,,,,, mpango wangu hasa ni kuhamia morogoro kwa nia ya kusaka life wazee na kiukweli huku mwanga hamna cha maana kabsa!!!
Acc ya bank inasoma 2.5mil tu na hio ndio nmepanga nikaanze nayo maisha hata kama nikipanga chumba bila godoro n fresh tu nitalala hata chini ila hio pesa nataka iende shambani.
Morogoro sina ndugu ila nmeichagua kwa sababu zifuatazo
1.ni mkoa wenye fursa kubwa kwenye sekta ya kilimo
2.living cost NIMESIKIA kwamba iko chini
3.usalama ni mzuri
NB: Naombeni ushauri wenu ndugu zangu na pia ikitokea nikapata mwenyeji wa huko ntashkuru sana na MUNGU AWABARIKI.