DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,486
Ushawahi kufanya hiyo shughuli ?He can start small. With veggies for example.
Ushawahi kufanya hiyo shughuli ?He can start small. With veggies for example.
Ni kweli kilimo bila mtaji wa kutosha kinaleta usumbufu mno.Nimeelewa km unataka kulima..kulima kwa 2.5 ni bora ubaki unalala...! na ukijimix ati ulime mboga mboga utajikuta unazila mwenyrw..mambo sio km 2015 veggies ilikua hot...!
kinoma yaani.Kumbe wakati mwingine huwa unajitoa ufahamu
Ni kweli kilimo bila mtaji wa kutosha kinaleta usumbufu mno.
Sasa manengelo kwa hiyo hela ya mtaji una mshauri afanye kitu gani haswaa
Mpe ramani hapo namba 9,maana kwa 2.5m anaweza kufanya kitu.Sema hata kukusanya mchele siku hiz haupandi km zaman..hukuti sasa hv mchele wa 2300 sokoni..unajikuta unahangaikia sh 200@! unajua hata km una 5m kama huna akili ya kujiongeza unaweza jikuta inaishia tu...shida inakuja hapo...!
Ckufichi unanifrahsha sana my friend sasa kila nikigusia business tofaut unasepa haipandi,,, naomba utupe idea basi ambayo unaona inafaa u r soo amazingSema hata kukusanya mchele siku hiz haupandi km zaman..hukuti sasa hv mchele wa 2300 sokoni..unajikuta unahangaikia sh 200@! unajua hata km una 5m kama huna akili ya kujiongeza unaweza jikuta inaishia tu...shida inakuja hapo...!
Namba 9 ndio wap kiongozMpe ramani hapo namba 9,maana kwa 2.5m anaweza kufanya kitu.
Sema hata kukusanya mchele siku hiz haupandi km zaman..hukuti sasa hv mchele wa 2300 sokoni..unajikuta unahangaikia sh 200@! unajua hata km una 5m kama huna akili ya kujiongeza unaweza jikuta inaishia tu...shida inakuja hapo...!Ni kweli kilimo bila mtaji wa kutosha kinaleta usumbufu mno.
Sasa manengelo kwa hiyo hela ya mtaji una mshauri afanye kitu gani haswaa
Ckufichi unanifrahsha sana my friend sasa kila nikigusia business tofaut unasepa haipandi,,, naomba utupe idea basi ambayo unaona inafaa u r soo amazing
Mpe ramani hapo namba 9,maana kwa 2.5m anaweza kufanya kitu.
We nipe 2 mkuu nakuja inbox basihapana..ataipoteza
Kwaiyo biashara gani ahueni wakati huu maana kila biashara naona kauri za mungu saidia mpaka sometimes nasema nikipata iyo ajira serikalini nitaitunza hadi na stafu maana mmh.hazina soko tena..mchicha fungu kuubwa unauza 100..bas utoe hata fungu 200 kwa siku..unaishia fungu 20
Mkuu inaonekana wewe mzoefu wa mji wa Moro jamaa kaomba muongozo embu muongoze.Kwa nini usiwekeze huko huko Mwanga Kilimanjaro ambako kimsingi mazingira yake umeshayazoea?
Morogoro ni moja ya mikoa mikubwa nchini mwetu, hivyo ungekua pia specific, unataka ukaishi wilaya gani? Moro mjini, vijijini, Kilombero, Mvomero, Turiani, Kilosa, Ulanga, Malinyi, nk.
M naona cha muhimu ni kwenda field tu mkuu kupambana na changamoto halic kuliko kukutana na changamoto za jf na huku changamoto za shamba pia zinakuhusuKwaiyo biashara gani ahueni wakati huu maana kila biashara naona kauri za mungu saidia mpaka sometimes nasema nikipata iyo ajira serikalini nitaitunza hadi na stafu maana mmh.
Inbox kufanyaje? Muache mane ajibu hapahapa..We nipe 2 mkuu nakuja inbox basi
hahaha dahUnaenda kupoteza hyo hel mkuu mapema sana sana
Kwaiyo biashara gani ahueni wakati huu maana kila biashara naona kauri za mungu saidia mpaka sometimes nasema nikipata iyo ajira serikalini nitaitunza hadi na stafu maana mmh.
Ana utajiri wa karibu gram 26 aanze mdogo mdogo: naamini kila akipileka dar atakuwa hakosi walau 150k. Kwa mwezi akienda round 4Hebu mshike dogo tena ww ndo uko huko
Ana utajiri wa karibu gram 26 aanze mdogo mdogo: naamini kila akipileka dar atakuwa hakosi walau 150k. Kwa mwezi akienda round 4
atakosa kweli total ya laki 6. Take home ya mtu wa mshahara wa laki 9 serikalini.
Uko kwako panamfaa sana atakuza mtaji haraka akiwa makini; ndondo si chururu.