CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 922
- 2,795
Naomba ushauri ulio serious, hili jambo ni serious, sio Drama.
Ichukulie kama ni wewe.
Unauhakika wa kupata 20M cash,
Kwa ufupi ni kufanya maamuzi tu ila unasubiriwa wewe tuu.
Una vyombo na kitanda tuu,
Kwa ufupi, ni vitu vya kukufanya upike na ulale...
Risk ni kwamba ukichukua umechukua hakuna cha kukubakiza hapo tena maana hio ndio inakuweka hapo.
Kwahio ni either ubaki uendelee kwa kutengemea uwekezaji wa hio 20M Ukupe 600k kwa mwezi au uondoke ukaanze hata chini ya hapo ila unaona mwanga.
Kwa nini unawza kuondoka?
Mambo yamezidi kua magumu,
Hakuna option nyingine ya kujiongezea kipato zaidi ya hio.
Kwa nini Dar, Dar una uzoefu uliishi kwa mda mrefu ukapata fursa ndio ukaondoka, kutafta mtaji, sasa unataka urudi ila katika mfumo mpya.
20M unaazaje maisha na kutoboa kibiashara?
Kuhusu upambanaji ni mzoefu
Mishen town unauzoefu nazo.
Usiseme mbona kuna watu wanaenda Dar hata nauli ni ya kuunga na wanaishi, Huyo hana cha kupoteza last options kwake ni hio, ila huyu anachakupoteza kama atabugi maana tayari ana options, pili haendi kutafuta maisha, anaenda kuboost maisha, baada ya kuona anachelewa.
Nitashukuru sana ukitoa ushauri Wa kujenga.
Ichukulie kama ni wewe.
Unauhakika wa kupata 20M cash,
Kwa ufupi ni kufanya maamuzi tu ila unasubiriwa wewe tuu.
Una vyombo na kitanda tuu,
Kwa ufupi, ni vitu vya kukufanya upike na ulale...
Risk ni kwamba ukichukua umechukua hakuna cha kukubakiza hapo tena maana hio ndio inakuweka hapo.
Kwahio ni either ubaki uendelee kwa kutengemea uwekezaji wa hio 20M Ukupe 600k kwa mwezi au uondoke ukaanze hata chini ya hapo ila unaona mwanga.
Kwa nini unawza kuondoka?
Mambo yamezidi kua magumu,
Hakuna option nyingine ya kujiongezea kipato zaidi ya hio.
Kwa nini Dar, Dar una uzoefu uliishi kwa mda mrefu ukapata fursa ndio ukaondoka, kutafta mtaji, sasa unataka urudi ila katika mfumo mpya.
20M unaazaje maisha na kutoboa kibiashara?
Kuhusu upambanaji ni mzoefu
Mishen town unauzoefu nazo.
Usiseme mbona kuna watu wanaenda Dar hata nauli ni ya kuunga na wanaishi, Huyo hana cha kupoteza last options kwake ni hio, ila huyu anachakupoteza kama atabugi maana tayari ana options, pili haendi kutafuta maisha, anaenda kuboost maisha, baada ya kuona anachelewa.
Nitashukuru sana ukitoa ushauri Wa kujenga.