Nina milioni moja na nusu natafuta gari

Nina milioni moja na nusu natafuta gari

Frank jb

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2014
Posts
418
Reaction score
122
najua kuna watakaonibeza na wengine kunikatisha tamaa lakini ukweli ni kwamba nahitaj kununua gari la milioni 1.5, kwa mwenye nayo tuwasiliane kupitia namba 0716 002323, nipo dar.
 
Daaah! Ngoja mi nipite kimya kimya!


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
Hata bajaj haitoshi wacha gari


Kwani VW Beetle old model inauzwa shilingi ngapi, si laki mbili tu? Msimkatishe tamaa mwenzetu. Jombaa Frank, ungekuwa A Town ningekupeleka Unga Limited. Zipo za kumwaga tu.
 
Hahahahaaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwani VW Beetle old model inauzwa shilingi ngapi, si laki mbili tu? Msimkatishe tamaa mwenzetu. Jombaa Frank, ungekuwa A Town ningekupeleka Unga Limited. Zipo za kumwaga tu.

Miaka hii bado na yenyewe unahesabu ni gari? Waachie wazee
 
najua kuna watakaonibeza na wengine kunikatisha tamaa lakini ukweli ni kwamba nahitaj kununua gari la milioni 1.5, kwa mwenye nayo tuwasiliane kupitia namba 0716 002323, nipo dar.

Mazee hata pikipiki hujanunua.Gari kuanzia 6m wewe kilaza kweli
 
Vip makochi umeshanunua?ebu anza na hayo kwanza...Gari litakuja kwa wakati wake, usijilazimishe kabla haujawa tayari.
 
Anza kwanza na makochi, deki ya Singsung, TV ya chogo ya singsang, subwoofer ya kichina, then jipange tena kuanza mchakato wa gari..
 
Anapata jamani acheni kumbeza watu wananunua ndege kwa laki tano sembuse gari.

niliwahi kuuzia na mzungu Suzuki Samurai kwa bei ya laki sita ilikua na shida kidogo kwenye usukani ilikua ina play.. na ndani viti havikua poa ila engine ilikua bomba laki tatu nikaponyesha kila kitu.. nikaedesha .. baadae na mimi nikaiiuza kwa laki saba... atapata ila mkweche.. hata mkweche ni gari :A S wink:
 
Back
Top Bottom