The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,234
- 2,131
Umekula mkate,keki,maandazi,kitumbua au nafaka yoyote ambayo lazima usage?Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
Ndio urithi kwa wajukuu huo....kula mamaNimeula imetosha...... Ugali hapana
Daah hongera mkuu ila Mimi kukaa bila kula ugali sijui kama ntakuja kuweza.Kwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
Wakoloni walileta mbegu za mahindi kwa ajili ya mifugo, wamatumbi wakafanya ndalilo na hadi leo eti wanaita ugali kuwa ni chakula chao cha asiliKwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
Kama wataula wao kwa kupenda kwao haya, ila mi bibi yao nishaupa kikonoNdio urithi kwa wajukuu huo....kula mama
Kazi ninayofanya haitaji kutumia wanga Sana Mkuu .Kua na mwili ambao hauhitaji kwenda Gym sio kwa sababu ya kutokula ugali, watu tunakula ugali sana na kitimoto kwa sana na bado tuna miili imejenga kama vile tunaenda gym.
Ugali ni wanga, usipokula ugali bado utakula wanga kwa namba nyingine.
Marekani hawali ugali, 40% ya population yao ni overweight, Mexico hawali ugali, 37% ya watoto wa umri wa shule ni obese ama overweight. Ugali haujawahi kua sababu ya overweight, miaka na miaka tumeamka wazee wetu walikua wanakula ugali tu na hawajawahi kua overweight.
Watu mna miili ya ajabu ajabu, inferior yenye kushindwa kuhimili wanga mnasingizia ugali. Tena ngoja nikaupige sasa hivi.
Kweli mkuu na nimebadilika I'm looking young than my real ageWakoloni walileta mbegu za mahindi kwa ajili ya mifugo, wamatumbi wakafanya ndalilo na hadi leo eti wanaita ugali kuwa ni chakula chao cha asili
KAtika kosa nililowahi kufanya ni kujuana na wahaya! Siwapendi sanaKwa sasa nimetimiza miaka mitano bila kula chakula aina ya ugali.
Kuhusu faida ni nyingi Sana mpaka sasa.
Nitazielezea Ila faida kubwa ni kuwa na mwili ambao umejengeka vizuri bila hata kwenda Gym.
Mdudu ndizi mbili kachumbariDaah hongera mkuu ila Mimi kukaa bila kula ugali sijui kama ntakuja kuweza.
Kaugali fulani kalainiiiiiii na rosti ya mdudu yenye tupilipili kwa mbaali ni kitu siwezi kukaa mwezi bila kulaπ π
Kwani mkuu ugali una issue basi?Ugali sio chakula......
Mi nimeanza kuukataa mdogo mdogo, yani mwaka huu ndio mwaka wangu wa mwisho kula ugali.
πππ wanazingua NshomileKAtika kosa nililowahi kufanya ni kujuana na wahaya! Siwapendi sana
Ni kweli umetukuza kwasababu kiafrica mtoto hauchagui, chagua kushinda njaa au kula πLeo ugali unasimangwa na kupewa kejeli zote wakati ndio umewakuza watu. Lkn mi mwenyewe siupendi basi tu nimekosea substitute yake kwenye kitimoto na Mbuzi moto.ππ
Kwanza chakula gani bila mboga hakiliki ππππKwani mkuu ugali una issue basi?
Tunaukandamiza kwa mazoea na sifa eti: ...'bila ugali me sushibi'..., yaani ukishajengeka kisaikolojia namna hiyo unakuwa ka'ulishakula nyama ya mtu, huwezi kuacha!
Mi niliishi miaka mingi bila kuoja nguna ad nikazoea!
Kwani wazungu wanaishije na kutoboa bila hayo makitu?
Ugali hauna umuhimu wowote katika mpangilio wa chakula.