Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 827
- 296
Haleluyah! Amen.
Mi naongezea tu.
We ulipoenda kuoa ulienda tafuta mtumishi au mke. ?? Huyo ni mke sio mjakazi wako. Tena km mimi ni kaka ya huyo mkeo ningekukata zote kumtumikidha dada yangu kila siku. We shs ngapi unamlipa kukupikia. Kukufulia na kusafisha nyumba?? Mbambaf wahedi!
ndo maana mabinti wa siku hizi hamuolewi mnajazwa mimba mkiwa nyumbani mmezidi kiburi