Bacore
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 222
- 228
Mfumo dume ni njia safi sana katika ndoa, wanawake wengi hasa wanawake kizazi hiki cha instagram, watakuendesha sana, ikiwezekana kukufilisi mali zako, mfumo dume ni njia pekee ya kukuokoa na majanga ya ndoa, usipo install mfumo huo tegemea yafuatayo.1. kufua chupi za mkeo, 2. kuchapiwa kwa sana, 3. viburi,kejeli na dhalau, 4. kuibiwa fedha, 5. kupangiwa siku za mgegedo, 6. kufukuza ndugu zako na wazazi wako mwenyewe kisa, mkeo! mtapata taabu sana wakuu!