Mpe muda kama kweli bado unam feel kabda hujaamua ku move on na maisha mengine, kumbe alishasema ana stress za familia, give him every benefit of doubt, mpe dharura, miezi minne kitu gani kwa mtu unaempenda na aweza kua your lifetime partner? sababu waweza mbele ya safari ukapata mwingine na yy aka behave kama huyo itakuumiza tena. Mimi na assume unamjua vema mwenzio, the devil you know is better than a friend you don't knowNilimuuliza ktk hali ya ukali alisema kwamba anastress za kifamilia na hafkirii kuhusu mapenzi kwa sasa hivyo nimuache
Unalilia vihela vyako ama? Miezi minne then unasema mlipendana kwa dhati, ulitumia vigezo gani?Habari zenu!
Nilikua na mpenzi ambae tumedum kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhat na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa janvini ni kwamba: mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu.kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu Wa kulia lia kila mara, tafazali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni
Mpe muda kama kweli bado unam feel kabda hujaamua ku move on na maisha mengine, kumbe alishasema ana stress za familia, give him every benefit of doubt, mpe dharura, miezi minne kitu gani kwa mtu unaempenda na aweza kua your lifetime partner? sababu waweza mbele ya safari ukapata mwingine na yy aka behave kama huyo itakuumiza tena. Mimi na assume unamjua vema mwenzio, the devil you know is better than a friend you don't knowNilimuuliza ktk hali ya ukali alisema kwamba anastress za kifamilia na hafkirii kuhusu mapenzi kwa sasa hivyo nimuache
Mpe muda azowee pesa kwanza. Pesa Zina utamu kama ushamba wa kuja mjini. Akizowea atakurudia na kukuletea card za AM SORRY BABY na maua.Habari zenu!
Nilikua na mpenzi ambae tumedum kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhat na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa janvini ni kwamba: mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu.kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu Wa kulia lia kila mara, tafazali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni
The only solution is to move on japo ni shida ila ubaki mwenyeweHabari zenu!
Nilikua na mpenzi ambae tumedum kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhat na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa janvini ni kwamba: mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu.kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu Wa kulia lia kila mara, tafazali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni
Wenzio siku hizi hatupendi doh!!!!!!!Yaani huu ambao nimeuesabu wanne wote mawasiliano c mazuri kakaangu, ni kweli nilimpenda sana sifichi. Lakini hali yake yakukaa kimya ndio inaniumiza
Sawa nakuja
Kumbe kakupa sababu..... give him a break, he will find you when he is okay.Nilimuuliza ktk hali ya ukali alisema kwamba anastress za kifamilia na hafkirii kuhusu mapenzi kwa sasa hivyo nimuache