Nina maumivu sana jamani, nahitaji msaada wenu

Nina maumivu sana jamani, nahitaji msaada wenu

hivi kumove on inakuaje rahisi kwa watu wengine?
Mtu anaonyesha kabisa hakutaki kwanini ung'ang'anie?
Unaendelea tu na mambo mengine maisha yanaenda..mbele ya safari utapata mwingine.
 
Mtu anaonyesha kabisa hakutaki kwanini ung'ang'anie?
Unaendelea tu na mambo mengine maisha yanaenda..mbele ya safari utapata mwingine.
Duuh i wish niwe na uwezo wa kumove on kwa spidi ya hatar
 
Ukitaka kuendelea kuumia endelea kuwa nae ila kwa kifupi Hugo ashapata mwingine.
 
Muweke katika sala zako alafu mpe break ndan ya 2monthz atarud tu tena atakutafuta kwa uvumba maneno meng I miss you,mara upo wap kitu cha kwanza sala ndiyo fimbo
 
Yaani huu ambao nimeuesabu wanne wote mawasiliano c mazuri kakaangu, ni kweli nilimpenda sana sifichi. Lakini hali yake yakukaa kimya ndio inaniumiza
Unapenda usipopendwa,stress za familia si sababu za yeye kuwa mbali nawe,kashapata alichokuwa anakitafuta,ni muda wa ww kumove on,
 
Nilimuuliza ktk hali ya ukali alisema kwamba anastress za kifamilia na hafkirii kuhusu mapenzi kwa sasa hivyo nimuache
Wanaotuachaga wanasingiziaga hivyo,kamata njia ongeza mwendo hapo huna chako ukilazimisha sana,huko mbeleni ndo utapata shida kuliko ya sasa hivi,
I am single again but now with experience.
 
Mpe muda kama kweli bado unam feel kabda hujaamua ku move on na maisha mengine, kumbe alishasema ana stress za familia, give him every benefit of doubt, mpe dharura, miezi minne kitu gani kwa mtu unaempenda na aweza kua your lifetime partner? sababu waweza mbele ya safari ukapata mwingine na yy aka behave kama huyo itakuumiza tena. Mimi na assume unamjua vema mwenzio, the devil you know is better than a friend you don't know
Asante nimekuelewa
 
Unalilia vihela vyako ama? Miezi minne then unasema mlipendana kwa dhati, ulitumia vigezo gani?
Amka endelea na mambo yako, hakuna upendo hapo na wala haujawahi kuwepo!
Mkuu, love doesn't y sawa, hata mi cjui ilikuaje nikampenda hivo.kiukweli hali hii siipendi
 
Hao ndio wanaume wachache wanaotuharibia CV wengine. Pambafu kabisa. Pole sana mtoto mzuri huyo sio wako tena.
 
Kama mapenzi yapo hata mtu awe busy kiasi gani atakujulia hali tu hata kwa kimessage .......hapo hakuna mapenzi .

Pia mtu kama anakupenda hutotumia nguvu nyingi kumuweka kwako bidada ..

Chakukushauri Pangusa hiyo sketi tena uchanganye miguu kutafuta furaha mpya
Ntajitahidi dadaangu
 
Back
Top Bottom