Habari zenu!
Nilikua na mpenzi ambae tumedum kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhat na kwakipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kaz hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila nilipokua na kidogo sikusita kumpatia.
Kilichonifanya nije hapa janvini ni kwamba: mwanaume huyu amebadilika sana, hapigi cm nikipiga hapokei, nikimtumia jumbe hajibu.kiukweli hali hii inaniumiza sana nashindwa hata kula,nimekua mtu Wa kulia lia kila mara, tafazali naombeni msaada wenu maana maji yamenifika shingoni
Mkuuu "" miezi minne ???? Tulipendana sana ????? .....embu kua serious ....huo muda ni muda ambao love is on fire ,high burning desire .
Well ,,, Embu acha kuhunika namna hiyo ,maishanyenyewe yako wapi ? Hata km umeamua usimwonyeshe umeamua ,acha kutafuta huruma ya kurudiana naye .
Kwamaelezo yako jamaa ,,alikuja kwako kutafuta wepesi wakat akingoja kazi ,,lkn pia kupunguza shahawa kwasababu Hana kazi kwaiyo nivigumu kupata mwanamke. Nausikute alikudanganya Akishapata kazi mnaanza process za kuoana !! Duuhhhhh wanaume bana.
Wenda hakua amekupenda ila kutokana na shida zake alikua kutumua muda mwingi akipretend anakupenda kumbe wala!!!
Usiumize kichwa na mwanamme km huyo ,, you are beautiful ,,you are the Queen of ur own fortune ,,, unamvuto sana ,, nakila mwanamme anataman kua nawewe ,,sasa y uanze kujihisi inferior km hivo ????? Kama ni m.b.o.o..o kila mwanamme anayo ,,kama niupendo kila mtu anajua kupenda ..
Just give yourself space ,,,Fanya maisha ,,atakuja wadhat ,,mtakulana vyakutosha ,mtazaa ,,mtafanya maisha.