Nina idea nimpe content mtu anayetaka kufungua redio ya vijana aiite 45 fm

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
20,026
46,176
Me Sina hela ila naishi na watu wema na wenyewe kiuchumi hawako vizuri nyie wa huko dar mna magari na majumba najua wengi hamuwezi kushindwa kufungua redio Jina LA redio nakupa mimi iitwe 45 fm vipindi nakupangilia mimi wewe utaboresha tu ila ni redio Kwa ajili ya vijana tu wa 45 Namba hio inafahamika na wenyewe Nina bonge la kitu redio itapendwa.. BOSS yoyote ukiwa serious tuongee shida hakuna watu wanataka wale raha redio hiyo itakuwa nzuri Sana kuna kipindi cha watu kupeana michongo pia.Na app ya redio iwepo.
 

Attachments

  • _20240524_231905.JPG
    _20240524_231905.JPG
    199.8 KB · Views: 2
Me Sina hela ila naishi na watu wema na wenyewe kiuchumi hawako vizuri nyie wa huko dar mna magari na majumba najua wengi hamuwezi kushindwa kufungua redio Jina LA redio nakupa mimi iitwe 45 fm vipindi nakupangilia mimi wewe utaboresha tu ila ni redio Kwa ajili ya vijana tu wa 45 Namba hio inafahamika na wenyewe Nina bonge la kitu redio itapendwa.. BOSS yoyote ukiwa serious tuongee shida hakuna watu wanataka wale raha redio hiyo itakuwa nzuri Sana kuna kipindi cha watu kupeana michongo pia.Na app ya redio iwepo.
Dawa Ni kutafuta mkoa mmoja na kwenda huko Ni ku make sure unateka mkoa kwa dar es salaam naona frequency zimeisha jaa
 
Me Sina hela ila naishi na watu wema na wenyewe kiuchumi hawako vizuri nyie wa huko dar mna magari na majumba najua wengi hamuwezi kushindwa kufungua redio Jina LA redio nakupa mimi iitwe 45 fm vipindi nakupangilia mimi wewe utaboresha tu ila ni redio Kwa ajili ya vijana tu wa 45 Namba hio inafahamika na wenyewe Nina bonge la kitu redio itapendwa.. BOSS yoyote ukiwa serious tuongee shida hakuna watu wanataka wale raha redio hiyo itakuwa nzuri Sana kuna kipindi cha watu kupeana michongo pia.Na app ya redio iwepo.
Mkuu vijana under 45 sio wasikizaji wa Radio utapata matangazo, wengi wako kwenye social media na mpira betting na shughuri za pesa, wasikilizaji wa redio ni 50 to 85yrs
 
Me Sina hela ila naishi na watu wema na wenyewe kiuchumi hawako vizuri nyie wa huko dar mna magari na majumba najua wengi hamuwezi kushindwa kufungua redio Jina LA redio nakupa mimi iitwe 45 fm vipindi nakupangilia mimi wewe utaboresha tu ila ni redio Kwa ajili ya vijana tu wa 45 Namba hio inafahamika na wenyewe Nina bonge la kitu redio itapendwa.. BOSS yoyote ukiwa serious tuongee shida hakuna watu wanataka wale raha redio hiyo itakuwa nzuri Sana kuna kipindi cha watu kupeana michongo pia.Na app ya redio iwepo.
Kwa kusoma title tu inatosha. Sasa ni hivi, vijana wana redio za kutosha. Wana content nyingi, labda tu ziboreshwe kidogo maana burudani kama imeshika %90.
Changamoto ni kwa watu wazima wa kati kuanzia miaka 35 hadi 60 hivi. Hawa hawana wa kuwasemea. Ukiangalia content za redioni wala haziwafevi. Miziki ndio hivyo tena. Kwa umri huu labda kusikiliza habari, halafu kuna kile kipindi alichokuwa Habash. Zaidi ya hapo hawana content. Sasa wazo lako libadili na cheki na hiyo niche
 
Back
Top Bottom