Nina hakika hili lilishakutokea hata wewe

Nina hakika hili lilishakutokea hata wewe

Nami niweke kisa changu japo ni chakawaida lakini kwangu ni moja ya tukio ninalo dumu nalo kwa kumshukuru sana Mungu kwaajili ya huyu ninaemzunguzia hapa.

Mwaka 1992 nilikua nakaa na bibi baada ya wazazi kufariki mwishoni mwa miaka ya 80.

92 hio bibi alipata shida ya macho na hakujaliwa kuona tena mpaka anakufa .

Mzazi wangu alikufa alikua ni mwanae wa mwisho 3 kufariki hivyo akawa hana msaada kwa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.

Ilibidi awe ananituma mimi kuomba kwa majirani chakula, leo huku kesho kule mpaka 96 nilipopata nguvu kidogo nikawa naanza kufanya vibarua vya hapa na pale napata mia, mia mbili na wakati mwingine mia tano.

Ilitusaidia kununa mboga , kusaga mahindi, na vitu vidogo vidogo vya kutuwezesha kuishi.

Hii ilienda nikiwa nimetenga siku za kwenda shule , Jumatatu naenda jumanne naenda kibaruani jumatano shule alhamisi kibaruani ijumaa shule jumamosi kibaruani jumapili kanisani.

Kwa mfumo huo ndio nienda kupausua kokoto mahali mbali kidogo tokea asubuhi mpaka saa tisa alienipa kazi hajatokea, njaa inaniuma Sana hata kunyanyua nyundo nikashindwa, lakini mawazo yote yapo kwa yule bibi ambaye tokea jana hajala kitu na hapo alipo hawezi kusogea hata hatua moja.

Ilinibidi nitoke hapo niende kwa baba mmoja aliekuwa anatufahamu kwa lengo la kumuomba kazi yoyote hata nipate 500 tu nirudi nyumbani nikanunue chochote, bahati mbaya sikumkuta ila watoto tuu, niliwaambia shida yangu lakini hawakuwa na lakunisaidia .

Ilibidi niwaombe malimao nile maana ile njaa ilioniuma siku ile mwaka 97 mpaka leo naikumbuka.

Nilikula yake malimao nikapata nguvu kurudi nyumbani km kama 7 hivi, huku sijui itakuwaje kule nyumbani.

Lakini ile nafika tu saa 12 bibi ananiuliza nimefanikiwa chochote maana njaa inaniuma mno, chozi lilipotokea hata sijui.

Lakini nikasikia mlio wa gari yule baba akaja mpaka nyumbani ana unga sukari na mchele, hata nguo hakubadilisha alipoambiwa na watoto kwamba nimekuja na nimeomba kibarua, alishindwa kuvumilia hata kuingia ndani ilibidi aje atuletee chakula.

Hilo tukio ni moja ya matukio ambayo yananipa faraja sana kwamba Mungu yupo na nisikate tamaa hata kama jua limezama chochote kinaweza kutokea.

Nilipika kile chakula lakini nilishindwa kula ila bibi alikuala, shukrani niliompa yule baba mpaka leo sioni kama inatosha, yeye pengine aliona ni kawaida lakini mpaka sasa ni miaka 25 sasa sijasahau na sita sahau zaidi ya kushukuru na kuwa msaada kwa wengine.

Wema ni akiba ndugu zangu tena akiba isio na mfano.

Lakini pia kushukuru ni kwema mno.

Nimelia[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nami niweke kisa changu japo ni chakawaida lakini kwangu ni moja ya tukio ninalo dumu nalo kwa kumshukuru sana Mungu kwaajili ya huyu ninaemzunguzia hapa.

Mwaka 1992 nilikua nakaa na bibi baada ya wazazi kufariki mwishoni mwa miaka ya 80.

92 hio bibi alipata shida ya macho na hakujaliwa kuona tena mpaka anakufa .

Mzazi wangu alikufa alikua ni mwanae wa mwisho 3 kufariki hivyo akawa hana msaada kwa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.

Ilibidi awe ananituma mimi kuomba kwa majirani chakula, leo huku kesho kule mpaka 96 nilipopata nguvu kidogo nikawa naanza kufanya vibarua vya hapa na pale napata mia, mia mbili na wakati mwingine mia tano.

Ilitusaidia kununa mboga , kusaga mahindi, na vitu vidogo vidogo vya kutuwezesha kuishi.

Hii ilienda nikiwa nimetenga siku za kwenda shule , Jumatatu naenda jumanne naenda kibaruani jumatano shule alhamisi kibaruani ijumaa shule jumamosi kibaruani jumapili kanisani.

Kwa mfumo huo ndio nienda kupausua kokoto mahali mbali kidogo tokea asubuhi mpaka saa tisa alienipa kazi hajatokea, njaa inaniuma Sana hata kunyanyua nyundo nikashindwa, lakini mawazo yote yapo kwa yule bibi ambaye tokea jana hajala kitu na hapo alipo hawezi kusogea hata hatua moja.

Ilinibidi nitoke hapo niende kwa baba mmoja aliekuwa anatufahamu kwa lengo la kumuomba kazi yoyote hata nipate 500 tu nirudi nyumbani nikanunue chochote, bahati mbaya sikumkuta ila watoto tuu, niliwaambia shida yangu lakini hawakuwa na lakunisaidia .

Ilibidi niwaombe malimao nile maana ile njaa ilioniuma siku ile mwaka 97 mpaka leo naikumbuka.

Nilikula yake malimao nikapata nguvu kurudi nyumbani km kama 7 hivi, huku sijui itakuwaje kule nyumbani.

Lakini ile nafika tu saa 12 bibi ananiuliza nimefanikiwa chochote maana njaa inaniuma mno, chozi lilipotokea hata sijui.

Lakini nikasikia mlio wa gari yule baba akaja mpaka nyumbani ana unga sukari na mchele, hata nguo hakubadilisha alipoambiwa na watoto kwamba nimekuja na nimeomba kibarua, alishindwa kuvumilia hata kuingia ndani ilibidi aje atuletee chakula.

Hilo tukio ni moja ya matukio ambayo yananipa faraja sana kwamba Mungu yupo na nisikate tamaa hata kama jua limezama chochote kinaweza kutokea.

Nilipika kile chakula lakini nilishindwa kula ila bibi alikuala, shukrani niliompa yule baba mpaka leo sioni kama inatosha, yeye pengine aliona ni kawaida lakini mpaka sasa ni miaka 25 sasa sijasahau na sita sahau zaidi ya kushukuru na kuwa msaada kwa wengine.

Wema ni akiba ndugu zangu tena akiba isio na mfano.

Lakini pia kushukuru ni kwema mno.
Mkuu story yako imeniumiza sana. Pole sana kwa uliyopitia ndugu, sometimes maneno hayatoshi kuelezea machungu watu wanayopitia ama waliyopitia, lakini pole sana ndugu.
 
Nami niweke kisa changu japo ni chakawaida lakini kwangu ni moja ya tukio ninalo dumu nalo kwa kumshukuru sana Mungu kwaajili ya huyu ninaemzunguzia hapa.

Mwaka 1992 nilikua nakaa na bibi baada ya wazazi kufariki mwishoni mwa miaka ya 80.

92 hio bibi alipata shida ya macho na hakujaliwa kuona tena mpaka anakufa .

Mzazi wangu alikufa alikua ni mwanae wa mwisho 3 kufariki hivyo akawa hana msaada kwa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.

Ilibidi awe ananituma mimi kuomba kwa majirani chakula, leo huku kesho kule mpaka 96 nilipopata nguvu kidogo nikawa naanza kufanya vibarua vya hapa na pale napata mia, mia mbili na wakati mwingine mia tano.

Ilitusaidia kununa mboga , kusaga mahindi, na vitu vidogo vidogo vya kutuwezesha kuishi.

Hii ilienda nikiwa nimetenga siku za kwenda shule , Jumatatu naenda jumanne naenda kibaruani jumatano shule alhamisi kibaruani ijumaa shule jumamosi kibaruani jumapili kanisani.

Kwa mfumo huo ndio nienda kupausua kokoto mahali mbali kidogo tokea asubuhi mpaka saa tisa alienipa kazi hajatokea, njaa inaniuma Sana hata kunyanyua nyundo nikashindwa, lakini mawazo yote yapo kwa yule bibi ambaye tokea jana hajala kitu na hapo alipo hawezi kusogea hata hatua moja.

Ilinibidi nitoke hapo niende kwa baba mmoja aliekuwa anatufahamu kwa lengo la kumuomba kazi yoyote hata nipate 500 tu nirudi nyumbani nikanunue chochote, bahati mbaya sikumkuta ila watoto tuu, niliwaambia shida yangu lakini hawakuwa na lakunisaidia .

Ilibidi niwaombe malimao nile maana ile njaa ilioniuma siku ile mwaka 97 mpaka leo naikumbuka.

Nilikula yake malimao nikapata nguvu kurudi nyumbani km kama 7 hivi, huku sijui itakuwaje kule nyumbani.

Lakini ile nafika tu saa 12 bibi ananiuliza nimefanikiwa chochote maana njaa inaniuma mno, chozi lilipotokea hata sijui.

Lakini nikasikia mlio wa gari yule baba akaja mpaka nyumbani ana unga sukari na mchele, hata nguo hakubadilisha alipoambiwa na watoto kwamba nimekuja na nimeomba kibarua, alishindwa kuvumilia hata kuingia ndani ilibidi aje atuletee chakula.

Hilo tukio ni moja ya matukio ambayo yananipa faraja sana kwamba Mungu yupo na nisikate tamaa hata kama jua limezama chochote kinaweza kutokea.

Nilipika kile chakula lakini nilishindwa kula ila bibi alikuala, shukrani niliompa yule baba mpaka leo sioni kama inatosha, yeye pengine aliona ni kawaida lakini mpaka sasa ni miaka 25 sasa sijasahau na sita sahau zaidi ya kushukuru na kuwa msaada kwa wengine.

Wema ni akiba ndugu zangu tena akiba isio na mfano.

Lakini pia kushukuru ni kwema mno.
Dah machozi yamenitoka

Kweli God works in mysterious ways
 
Mwaka 98 nikiwa darasa la nne pale shule ya msingi Mwananyamala Kisiwani. Siku moja tukiwa tupo mapunziko yale ya saa nne, mimi na wenzangu tulienda nyuma ya Shule kwaajili ya kununua vitu mbalimbali ili kulituliza tumbo kutokana na njaa. Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na njaa sana hivyo nikaona ili kuituliza ninunue viazi vitamu vya kukaanga. Kipindi hicho kiazi kimoja Sh 50, kwa kuwa nilikuwa na sh 200 hivyo nikanunua viazi vitatu kisha nikabakiwa na sh 50 kwaajili ya kununua barafu la kwenda kulia darasani. Kwa bahati mbaya vile viazi vilifungwa kwenye gaazeti, na kutokana na mchuzi kuwa mwingi lile gazeti lilichanika na hatimaye viazi kuanguka chini sehemu chafu. Kutokana na njaa niliyonayo nikasimama pale huku nikifikiria niviokote ama niende darasani!!!? Wakati naendelea kiwaza namna ya kufanya akatokea mkaka hivi na kunambia dogo achana navyo hvyo chukua hii 500 ukanunie vingine. Kitendo hiki mpaka leo hakitoki kichwani mwangu na kimeniathiri kiasi kwamba ninapokuwa na niko vizuri kisha nikaona watu wanagombana kwa kudaina pesa ambayo naweza kuimudu kuilipa basi ni heli nimlipie mdaiwa kisha maisha yaendelee.

Yaani kiufupi huwa sipendi kukutana na mtu anataabika njiani, kama ninauwezo wa kumsevu huwa nafanya hvyo. Yule jamaa simkumbuki hata kwa sura.

Ila ninachoweza kukitolea ushuhuda ni kwamba ukiwa na tabia ya kusaidia watu kwenye matatizo bila kutarajia malipo, basi nawe utajikuta ukipata msaada kwenye magumu bila kutarajia ulipotokea.
 
Nina mkumbuka baba yangu mlezi (mume wa mama mdogo )alinichukua kutoka kwa mama yangu nikiwa na miaka 3 akanilea na kunisomesha tena shule za gharama kubwa.Kuanzia nursey mpaka chuo kikuu. Baada tu ya kumaliza field yangu ya mwisho,mwaka wa mwisho baba akafariki.
Nina maumivu sana mpaka Leo
 
Nina mkumbuka baba yangu mlezi (mume wa mama mdogo )alinichukua kutoka kwa mama yangu nikiwa na miaka 3 akanilea na kunisomesha tena shule za gharama kubwa.Kuanzia nursey mpaka chuo kikuu. Baada tu ya kumaliza field yangu ya mwisho,mwaka wa mwisho baba akafariki.
Nina maumivu sana mpaka Leo
Fanya kitu kwa familia yake utapata nafuu kubwa rohoni
 
Mwaka 2002 namsaidia kijana mdogo mpemba. Mtaji wa elfu 10 kuuza maji yale ya 50 nimekutana na dogo 2017 ni tajir anauza magar. Kwa kifup dogo kawa mchaga full mwez wa 12 tunaendaga nae moshi. Anadai alinitafuta sana. Na mimi nilimkuta analia stend pale anaomba hela ya nauli arud kwao pemba. Baba yake alishafariki yupo yeye na mdogo wake wa kike wanalelewa na baba mdogo anawatesa na amekuja dar kubahatisha. Ila amechemka. Bahat nzur cku hiyo nilitoka nae tukaenda kula nikampiga picha nilikuwaga na camera. Ni stor ndefu ila Nachojua Mungu ana sababu zake kwanini vitu hutokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom