Nimsamehe au?

Nimsamehe au?

mzabzab what you just say is so touching,thats good of you buddy!!!!!!!!!!!!
wee usimsamehee ....imekula kwake. u a virgin u dserve a virgin man so value irself nd do away with the fornicator
 
Last edited by a moderator:
Kumnyima mwenzio papuchi ni kumnyanyasa kijinsia,vile vile ni kinyume na haki za binadamu.miss chagga upo hapo!
 
kama unampenda msamehe mama ili usife mapema jiwekee akili mwako hakuna mwanaume wa peke yako
 
Yawezekana ni trick ya kukuumiza roho maana unabana sana tena mshukuru mungu umepata kijana mstaarabu.usibane sanaaa wajanja watamzibua masikio soon so jipange

wacha mpotosha mwenzio...kubana sana ndio nini sii bora kubana kuliko kufungua unatumika na kudharaulika. this lady should be applauded nd should be encouranged to remain virteuous
 
mzabzab what you just say is so touching,thats good of you buddy!!!!!!!!!!!!

asante...naona watu taka kupotosha dada wa watu tuu hapa. dada ana tabia nzuri she values herself y do we as society extol premarital sex instead of pious young ladies ambao wao kweli wamebaki njia kuu na sio njia kuu wanayozungumzia kwenye matv.
 
Last edited by a moderator:
Unafanya Koxa Mpendwa Wnzk 2nawajua Hd Wake Wenze2 2navyotambishwa Xaxa?Km Huna Moyo Unapgana Mama Wanaume Hawa Wanzinzi Wangekuwa Na Dunia Yao Watuache Na Wastaarabu!

unamdanganya mwenzio....mwanamke kama huyu ni wife material nit becoz she is a virgin but becoz she fears jehova...a paramount quality in any wife to be
 
Unafanya Koxa Mpendwa Wnzk 2nawajua Hd Wake Wenze2 2navyotambishwa Xaxa?Km Huna Moyo Unapgana Mama Wanaume Hawa Wanzinzi Wangekuwa Na Dunia Yao Watuache Na Wastaarabu!

uandishi huu!? Uandishi huu peleka kwa fb wenzako
 
just forgive angeamua ficha angefcha tuu by any means. forgive him
 
kama wewe umemfanya mwanaume wa show wenzio wanamtumia kivitendo endelea kuificha iyo papuchi kweye tissue pepa mwenzio ndo ivyo tyr kachana hadi nailoni.ata mimi siwezi vumilia miaka yote kisa eti makubaliano labda wewe ndo ulishinikiza ikabidi akubali ingwaje moyo ilikuwa unamsuta.Funguka chukua hatua mpe iyo mbunya akiikuta fiti atarudi nja kuu shauri yako

sasa huu ni ushauri au vijembe?
 
We dem utakuwa siyo mzma sasa ndo nini kumbania mwenzako hivyo,kwa hiyo mnaviweka hadi ndoa ili?ukijakuta mambo syo itakuwaje hahaha
 
wacha mpotosha mwenzio...kubana sana ndio nini sii bora kubana kuliko kufungua unatumika na kudharaulika. this lady should be applauded nd should be encouranged to remain virteuous

Umeongea kweli tupu mkuu, huwa nawapa big up sana watu wanaojitunza coz kweli ni wachache sana...
 
Back
Top Bottom