mzabzab for these comments do you mean you are starting to change? your comments imprreses me a lot.asante...naona watu taka kupotosha dada wa watu tuu hapa. dada ana tabia nzuri she values herself y do we as society extol premarital sex instead of pious young ladies ambao wao kweli wamebaki njia kuu na sio njia kuu wanayozungumzia kwenye matv.
Kwa hiyo miss chagga ndo msuluhishi wa mgogoro huu eeh?
Hii napinga... Mimi ni wa mmoja tuu
Aaah achana naye tafuta bikira mwenzako mkatoane nailoni