Nimsamehe au?

Nimsamehe au?

Kama kweli unampenda na unataka kuishi naye milele, sioni kama utashindwa kumsamehe.
 
Ni lazima umsamehe, haiwezekani umbanie miaka miwili mizima., hebu kuwa na utu, ulitegemea apumue vipi??
tena asingedinya ningemuona Punga. HEBU MSAMEHE HUKO, MUONEE:angry::angry::angry:!!!!!
 
wacha mpotosha mwenzio...kubana sana ndio nini sii bora kubana kuliko kufungua unatumika na kudharaulika. this lady should be applauded nd should be encouranged to remain virteuous

Thank you for defending me!
 
kuna moja kati ya haya mawili. Kwanza huenda anataka kulegeza msimamo wako kwa wewe kuona wengine wamefaidi ili na wewe utoe k. Unajua karibu mfunge ndoa anataka kuwa na uhakika anachokitafuta kwako.Pili kama huko nyuma alikuwa akisisitiza kuvunja miadi unakataa basi atakuwa ana mpango wa kukuacha na hiyo ni exit strategy.Hata hivyo sina uhakika kama wewe ni msafi pia.
 
Una bahatiii yanii jamaa ako amemdinya MTU nje kaja kukwambia...Huyo Kweli mume mwemaa..wish could get that one

Mwambie huyo watu wanapigiwa show kila kukicha(kumegewa ni siri ya ndani)ile kitu imeletwa ili to share
 
Hii habari ungeipeleka kwenye jukwaa la mabikira
 
as long as amekir kosa lake na mnapendana msamehe tu! forgive and forget.
 
Msamehe mufunge ndoa haraka, bila hivyo huo uhusiano hautadumu - kumbuka muonja asali haonji mara moja.
 
Inawezekana amekwambia hvo ili uone wivu na umpe k,au ni kweli hicho kitu amekifanya na hawezi kuacha,yaani two years umembania eti unajichunga lol is that possible?unadhan kama kabla hajakutana na wew alikua na mpnz mwingine na wakasex ataweza kuvumilia 2yrz kweli? wewe sema umeliwa!usitegemee kama miaka hyo miwili alikaa kavu wakati tayari alikua anaijua tamu.na inawezekana ulimwambia no sex mpaka ndoa kwasababu ulikua unamtu mwingne aliyekua anakupa hyo tamu,au labda ww bado ni virgin who know?muonja asali haachi.msamehe muendelee na mipangpo yenu,ukitaka mpe k na manjonjo yote ili asiende tena nje na mfunge ndoa yenu kwa aman.
 
Inawezekana amekwambia hvo ili uone wivu na umpe k,au ni kweli hicho kitu amekifanya na hawezi kuacha,yaani two years umembania eti unajichunga lol is that possible?unadhan kama kabla hajakutana na wew alikua na mpnz mwingine na wakasex ataweza kuvumilia 2yrz kweli? wewe sema umeliwa!usitegemee kama miaka hyo miwili alikaa kavu wakati tayari alikua anaijua tamu.na inawezekana ulimwambia no sex mpaka ndoa kwasababu ulikua unamtu mwingne aliyekua anakupa hyo tamu,au labda ww bado ni virgin who know?muonja asali haachi.msamehe muendelee na mipangpo yenu,ukitaka mpe k na manjonjo yote ili asiende tena nje na mfunge ndoa yenu kwa aman.

unajua kuna wanawake wengne haziwatoshi kabisa anambania mshikaji na usikute limet oombwa huko halafu sasa hvi linajifanaya linamsimamo. Hivi akiangaliwa atakutwa na bikra kweli? Watu kama hawa dawa yao ni kuwashona mimba tu
 
unajua kuna wanawake wengne haziwatoshi kabisa anambania mshikaji na usikute limet oombwa huko halafu sasa hvi linajifanaya linamsimamo. Hivi akiangaliwa atakutwa na bikra kweli? Watu kama hawa dawa yao ni kuwashona mimba tu

ndo namshangaa huyu binti mwenzangu,mwanaume sikuizi hauziw mbuzi kwenye gunia,sasa najiuliza kama waliposex na huyo mfanyakazi mwenzake akapata mimba je?anafikir ndoa itakuwepo?atachukuliwa mwenye mtoto na ambae ameshajua utamv wake,kalaghabao
 
Du kwel madem wengine makauzu kweli.lakin huyo dem cyo bikra wala nn.anaogopa kichapo kutoka kwa huyo mshikaji manake akimdinya atagundua kuwa c bikra.
 
Aisee, me ukisema hakuna ku-do mpaka ndoa kwanza nitakuuliza umeshawahi kumegwa au hapana?

Kama hujawahi inabidi nitest kwanza kama ni kweli hujawahi kumegwa?

Nikikuta hujawahi kumegwa, basi nitakumega halafu sitakugusa tena mpaka ndoa...

La sivyo we nipo tu mambo.
 
sipati picha kama hivyo angekuwa kafanya mwanamke,,,sisi wanaume hatupendi kumegewa
 
Back
Top Bottom