Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,599
- 19,655
Pombe naachaga hata miezi miwili mitatu narudi .... Ila mjani hata wiki siwezi asee tena wiki ni nyingi sijawahi fikaMjani tena
Pombe naachaga hata miezi miwili mitatu narudi .... Ila mjani hata wiki siwezi asee tena wiki ni nyingi sijawahi fikaMjani tena
Tupe mfano wa kilaji au kinywaji chochote kile ambacho kiko salama asilimia 100%, najua utasema soda sababu ndo vinywaji vyenu watu dizaini yakoHakuna kiwango cha pombe ambacho ni salama
Kwa hiyo wewe unataka siku ukifa ufe ukiwa na maini pamoja na figo zikiwa safi.Tumia tu baba, ila hizo figo na maini jiandae
Nimeanza kunywa pombe 1981 mpaka leo hii napiga majiAcha uzushi kuna wazee wana zaidi ya miaka 20 wanapiga mbege na wapo tu hizo 10 seconds za wapi
Achana naye asituletee ujinga tu ache kunywa serikali itapata wapi mapatoKwa hiyo wewe unataka siku ukifa ufe ukiwa na maini pamoja na figo zikiwa safi.
Weka hapa au watu tushakua mateja wa pombe or unataka pesa kwanzaNjoo PM. Mimi nimeweza kuacha.
Pombe kwa kiasi fulani haina madhara kwa afya yako kama ilivyo tiba ya malaria kwako ambapo inakutibu inakuacha salama. Vivyo hivyo pombe kwa kiwango fulani hukuongezea afya ya akili na nafsi, mwishowe unaçhopata ni maisha ya furaha na marefuYou firmly believe on this???
OkPombe kwa kiasi fulani haina madhara kwa afya yako kama ilivyo tiba ya malaria kwako ambapo inakutibu inakuacha salama. Vivyo hivyo pombe kwa kiwango fulani hukuongezea afya ya akili na nafsi, mwishowe unaçhopata ni maisha ya furaha na marefu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818]We will all die one day so we may as well enjoy the life while it lasts.
Umetisha mzee baba.Nimeanza kunywa pombe 1981 mpaka leo hii napiga maji
Hii sentensi nitaitumia kwenye ule uzi wako wa diet[emoji16][emoji16]We will all die one day so we may as well enjoy the life while it lasts.
😂😂😂😂😂Hii sentensi nitaitumia kwenye ule uzi wako wa diet[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hakuna kiasi cha pombe ambach ni salama kwa afya.
View attachment 987950
Kama alikuwa anatania ntamuelewa ila kama amemaanisha, kuna imani yangu juu yake inaathirika, ndio maana nkamuuliza Sky Eclat kama alimaanisha alilosemaHii sentensi nitaitumia kwenye ule uzi wako wa diet[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat hanywi, anachangamsha kijiwe tuu.Kama alikuwa anatania ntamuelewa ila kama amemaanisha, kuna imani yangu juu yake inaathirika, ndio maana nkamuuliza Sky Eclat kama alimaanisha alilosema