witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,769
[emoji848][emoji848][emoji2955]We will all die one day so we may as well enjoy the life while it lasts.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848][emoji848][emoji2955]We will all die one day so we may as well enjoy the life while it lasts.
Haaahaaa...umewaza mbaliUsikute mleta mada ni swala 5 na haimsaidii chochote maishani, yuko tu bitter na watu wanao enjoy maisha.
Hpa yenyew tunazitandikaaaa
Tuacheni na pombe zetu kama we hutumi ni wewe
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachokunywa kina madhara zaidiMkuu mimi nina miezi mitatu now nimeacha niliamua personally japo nilipata shida mwanzo kutokana na mazoea mwisho nikazoea now nakutana na walevi na tunakaa bar hadi saa sita nakunywa juice hadi wameshangaa kikubwa ni maamuzi
When a person is in his/her best ego usually speaks like this. The one who said "majuto ni mjukuu" didn't err. We no we shall die but one shouldn't like an idiot. It is better to die with full stomach than with hunger.We will all die one day so we may as well enjoy the life while it lasts.
Kwenye vyakula SawaUnaweza ukabisha pia lakini sukari haikwepeki asilimia 90 ya vyakula tunavyokula vinasukari au vimetumia sukari kutengenezwa unaikwepaje sukari ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinywaji pendwa hichoMleta mada kwa hii topic utatukanwa kila tusi [emoji3]
Kwa ufupi mvuta sigara ana nafuu mara mia ya mnywa pombe kwa sababu athari za sigara zinaathiri zaidi ogani chache: mapafu na ubongo lakini mnywapombe : moyo, ini, figo, ubongo achilia mbali mfumo wa chakula na damu.
Hakuna cha kunywa kiasi. Kama wataka kifo kisichokulaza miezi kwa miezi na kwa mateso makubwa kitandani acha pombe na sigara.
Sent using Jamii Forums mobile app