Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Hakuna kiasi cha pombe ambach ni salama kwa afya.
Kama hautumii waachie wanaotumia ayakuhusuHakuna kiasi cha pombe ambach ni salama kwa afya.
View attachment 987950
Njoo PM. Mimi nimeweza kuacha.My spirit is willing to quit alcohol... but my body is very very weak.. najua athari zooote za kunywa pombe.. najitahidi kunywa kwa kiasi. Ila bado nashindwa kuacha kabisa.. nifanyeje wakuu????
Weka hapa kwa faida ya woteNjoo PM. Mimi nimeweza kuacha.
Mkuu mimi nina miezi mitatu now nimeacha niliamua personally japo nilipata shida mwanzo kutokana na mazoea mwisho nikazoea now nakutana na walevi na tunakaa bar hadi saa sita nakunywa juice hadi wameshangaa kikubwa ni maamuziMy spirit is willing to quit alcohol... but my body is very very weak.. najua athari zooote za kunywa pombe.. najitahidi kunywa kwa kiasi. Ila bado nashindwa kuacha kabisa.. nifanyeje wakuu????
Wow! Is it? This is not a good word from a woman yu know! Hakuna mtu wa hovyo ka mwanamke mlevi. Mark ma wordsWe will all die one day so we may as well enjoy the life while it lasts.
Kusema ni rahisi...We will all die one day so we may as well enjoy the life while it lasts.
Hpa yenyew tunazitandikaaaa
Tuacheni na pombe zetu kama we hutumi ni wewe
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
OffcourseWow! Is it? This is not a good word from a woman yu know! Hakuna mtu wa hovyo ka mwanamke mlevi. Mark ma words
Hongera sanaMkuu mimi nina miezi mitatu now nimeacha niliamua personally japo nilipata shida mwanzo kutokana na mazoea mwisho nikazoea now nakutana na walevi na tunakaa bar hadi saa sita nakunywa juice hadi wameshangaa kikubwa ni maamuzi
Hujaamua tuMy spirit is willing to quit alcohol... but my body is very very weak.. najua athari zooote za kunywa pombe.. najitahidi kunywa kwa kiasi. Ila bado nashindwa kuacha kabisa.. nifanyeje wakuu????
Ajali kziniiiiniiiiTumia tu baba, ila hizo figo na maini jiandae
Ishiwa tu Mkuu....mwenzio yamenikuta leo siku ya kumi sijapiga vyombo dah kuishiwa huku.My spirit is willing to quit alcohol... but my body is very very weak.. najua athari zooote za kunywa pombe.. najitahidi kunywa kwa kiasi. Ila bado nashindwa kuacha kabisa.. nifanyeje wakuu????