Nimewaonya sana juu ya matumizi ya pombe!

Nimewaonya sana juu ya matumizi ya pombe!

Papa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
1,153
Reaction score
1,359
Hakuna kiasi cha pombe ambach ni salama kwa afya.
Screenshot_20190106-191312_Instagram.jpg
 
My spirit is willing to quit alcohol... but my body is very very weak.. najua athari zooote za kunywa pombe.. najitahidi kunywa kwa kiasi. Ila bado nashindwa kuacha kabisa.. nifanyeje wakuu????
Mkuu mimi nina miezi mitatu now nimeacha niliamua personally japo nilipata shida mwanzo kutokana na mazoea mwisho nikazoea now nakutana na walevi na tunakaa bar hadi saa sita nakunywa juice hadi wameshangaa kikubwa ni maamuzi
 
Mkuu mimi nina miezi mitatu now nimeacha niliamua personally japo nilipata shida mwanzo kutokana na mazoea mwisho nikazoea now nakutana na walevi na tunakaa bar hadi saa sita nakunywa juice hadi wameshangaa kikubwa ni maamuzi
Hongera sana
 
Back
Top Bottom