Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,049
- 3,932
Mm nilikuwa mnywaji wa ajabu nikiwa na pesa nitkunywa bia, na vinywaji vikali ila nikikosa banana zitanyweka hdi nikome kuacha siwezi Dah nashukuru sana Mungu kuama mkoa na kufikia kijijini miezi 6 bila kunywa saivi mwaka wa 7 huu naisikia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app