Nimewamiss!!!!!!!!!!!!!!

Nimewamiss!!!!!!!!!!!!!!

hata mi shahidi ulisema mwenyewe kwamba dena amekukimbia so umeamua kuopoa muke mupya saivi unakana
shansarie mpaka wewe shemeji yangu unanikana kama Pilato
Sawa bana
Ila elewa@dena amsi ni wangu na ni wangu mpaka mwisho
Kuna viwatu vinashadadia kutaka Dena Amsi aniache ila hawapati kitu ni wangu mpaka mwisho na hii taarifa iwafikie Tized, kiwatengu na mwekundu
 
Last edited by a moderator:
missChagga kwa usalama wa afya yako please usije huku unaweza fariki maana mwenye mume wake hata hakutambui mie nilidhani anakujua kumbe haujulikani?Duh!tabu kwelikweli
 
Last edited by a moderator:
missChagga kwa usalama wa afya yako please usije huku unaweza fariki maana mwenye mume wake hata hakutambui mie nilidhani anakujua kumbe haujulikani?Duh!tabu kwelikweli

Asanteeee mtoto mzuri tena asikanyage kabisa...
 
Last edited by a moderator:
na wewe bibie mbona kujirudisha bila taarifa... rudi porini huko bwana.... hata sijakumiss ila ukienda tena kama mwezi tena nitakumiss kweli kweli
 
Dena Amsi karibu sana mke wangu mpandwa hapa tulikuwa na kamchepuko kameingilia mapenzi yetu ila niko na wewe daima miss chagga tuliza boliu mwenye mali karudi wewe kaa kimya kwa sasa bana
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom