Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Honey Faith yuko kwenye nyumba yake ndogo hapa niko na bi mkubwa kwa sasa tunapata chakula miss chagga yeye yuko kwake leo si zamu yake ni ya bi mkubwa Dena Amsi si unajua nilimmiss sana kwa hiyo miss chagga anapumzika leo
cc kiwatengu na Tized na sungura1980, mwekundu, Ntuzu, mwallu
Duh!kwa hiyo wanajijua kuwa wanashere bwana? @MrRocky.Pole sana bi mdogo kwa madaha yote kumbe umevamia ndoa ya watu missChagga.
Last edited by a moderator: