Nimewamiss!!!!!!!!!!!!!!

Nimewamiss!!!!!!!!!!!!!!

Last edited by a moderator:
Hakuna cha limbwata mwallu na yeye anajua kabisa kuwa yeye ni nyumba ndogo na nyumba kubwa Dena Amsi yupo hana mashaka na hilo kabisa
tatizo kuna viwatu vina mdomo hapa haswa kiwatengu na Tized hawataki kuona ndoa yangu inaimarika aise ni kunipiga vita tuu kila siku hata nikichepuka wanakuja kutangaza humu

we ndiyo uliacha kuiharibu ndoa yako mwenyewe nikiweka ushahidi hapa usikimbie.

Ulishayavulia nguo lazma uyaoge,
Tized na Dena Amsi wapo underground, wanajuana kuweka mambo okay. andaa moyo wako na uwe tayari kupokea lolote.

Wala hatutahitaji kukufunga kamba ili usilete fujo,
uondoke tu mdogo mdogo...
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu kama mpaka ndugu wanadhulumiana na kufanya vikao vya siri kumuangamiza ndugu kweli tafsiri ya ndugu inatakiwa kufanyiwa marekebisho aise maana hapa nawaona Tized na kiwatengu ndugu zangu kabisa wanafanya fitina ndoa yangu ivunjike na kwa taarifa yenu ndoa yangu na Dena Amsi haitavunjika
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu kama mpaka ndugu wanadhulumiana na kufanya vikao vya siri kumuangamiza ndugu kweli tafsiri ya ndugu inatakiwa kufanyiwa marekebisho aise maana hapa nawaona Tized na kiwatengu ndugu zangu kabisa wanafanya fitina ndoa yangu ivunjike na kwa taarifa yenu ndoa yangu na Dena Amsi haitavunjika

kama ni dhuluma ni unajidhulumu mwenyewe ndugu yangu.

kwetu hatunaga michepuko.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wewe ni ndugu yetu ila kwenye hili swala la kuitelekeza familia.. tumejitoa hatuwezi kuvumilia. Tutapambana hadi kieleweke. kiwatengu nakuaminia sana kaka.

kiwatengu kama mpaka ndugu wanadhulumiana na kufanya vikao vya siri kumuangamiza ndugu kweli tafsiri ya ndugu inatakiwa kufanyiwa marekebisho aise maana hapa nawaona Tized na kiwatengu ndugu zangu kabisa wanafanya fitina ndoa yangu ivunjike na kwa taarifa yenu ndoa yangu na Dena Amsi haitavunjika
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana angalao tufahamiane, Mr Rocky alishakukukabidhi kwangu, Shahidi ni Ndugu mwandishi kiwatengu na mke wake huyu mpya.. anaitwa nani tena vileee.. naniiiii.... hewala miss chagga.

Nimekumisi pia Dena Amsi, I ve dreaming of this day.
Ntapitiamo tumahidi tuwili nkachemshe leo.. nna hamu mieeee!!!

Teh teh Tized tengua kauli miss chagga ni mchepuko au hawala wa Mr Rocky?
Ofcoarse watu sasa hivi wameshaelewa identity ya Mr maana anagonganisha magari humu humu
 
Last edited by a moderator:
Usijali chem... nanii mpe na huyu. Asije kuninyima mdogo wake buree!

Tafadhali mfungie vizuri SATO wa foil ataondoka nayo. Afu unletee bili yangu.

Asante.

Hayo ndo maneno
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu kama mpaka ndugu wanadhulumiana na kufanya vikao vya siri kumuangamiza ndugu kweli tafsiri ya ndugu inatakiwa kufanyiwa marekebisho aise maana hapa nawaona Tized na kiwatengu ndugu zangu kabisa wanafanya fitina ndoa yangu ivunjike na kwa taarifa yenu ndoa yangu na Dena Amsi haitavunjika
hata mi shahidi ulisema mwenyewe kwamba dena amekukimbia so umeamua kuopoa muke mupya saivi unakana
 
Yaani nimewasoma wooote na fitina zenu nikasema ninyamaze ila nimeshindwa hata usingizi umekataa kabisa.

Sasa nasema hivi kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji sawa?? Hata msemeje Mr. Rocky is still my Husband na simwachi michepuko, sijui miss chagga alichepukika nae nasema hivi sijali kabisa hata tone sawa? My Husband nampenda na nitaendelea kumpenda nkt Huby usijali mpenzi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom