Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

nimeteseka sana maisha ya udogoni na sasa naelekea kuanza mateso ya ujana mpaka uzeeni......najiona sifai, sifai kabisa hamna mwanaume atakayenivumilia
Tatizo umeshajihukumu mwenyewe, na unajiongezea mzigo kwa kutosema ukweli. Only the truth will set you free.

Watu wanaoa Kardashians na wanajaribu kuwabadilisha, itakuwa wewe ambaye umeshabadilika mwenyewe.
 
Hadithi za Shigongo
umesahau kuwa Mama yenu aliwafuata Shule TZ Primary akawapeleka Shule

Kenya ipo mpaka la 8 (STD VIII) haya ukaingia Sekondary miaka 4 na ukajiunga na Chuo cha Cherehani au mapishi ?
huku TZ hatuna vyuo vya mwaka
kuna kitu hukitambui kuhusu kenya na UG
LEO HII UKIWA HATA STD FOUR kwa hela KENYA NA UG private skulis unavushwa na kwenda std hata 7 and 8
wengi tu tena watz wanasoma KENYA wanahamia UG wanavuka hata madarasa matatu.
 
Hadithi za Shigongo
umesahau kuwa Mama yenu aliwafuata Shule TZ Primary akawapeleka Shule

Kenya ipo mpaka la 8 (STD VIII) haya ukaingia Sekondary miaka 4 na ukajiunga na Chuo cha Cherehani au mapishi ?
huku TZ hatuna vyuo vya mwaka
hapa stori ilifocus UCHANGUDOA na sii namna ya tulivyosoma.ukitaka nianze kuandika kila kitu hii stori ingekaa kwa kurasa tatu
ila kama una ndugu na unataka aingie private skuli kenya darasa lolote hata kama hajalifika naweza kukuelekeza.
mfano:mdogo wangu amesoma miaka mitano tu mpaka std 8.
 
Wakukuvumilia tupo sema nafasi hatukuipata tena hakuna wanawake wazuri kama nyie usife moyo dada.

Unaweza kutabasamu kwa mema na mazuri uyakumbukayo
 
Si huyo tayari kakuona unamfaa!? Hayo yaliyopita umeshatubu kwa Mungu wako imetosha, sasa ni kumuomba akusitiri aibu yako.

umuombe mungu akutunzie dhambi tena kubwa hivi wewe una masihara na MUNGU
 
Naomba usiendelee kuteseka kwa kuwa Mungu anasamehe na amesema anasamehe. Usiteseke rudi kwa aliyekuumba and be free. Pengine u will be better than most of us. Binadamu ni nani? Kuwa mwema sana kwa mumeo na jamii, change so much kiasi kwamba hata akijua na ukamwambia umebadilika ataamini. Keep a low profile kwa hao marafiki zako ikibidi badili namba. Kumbuka God loves u the way u are and u deserve better. Kila la heri
NAJIHISI SINA MGOGORO na mungu ila nina mgogoro ujao na wanaadamu
jaman huwezi kuishi isolated lazma uwe na jamii na sasa kama jamii ikijua si nimeisha
 
Na nadhani bado hajala mzigo huku akiwa na imajinasheni nyingi kwamba anaoa mke safi kumbe mke alikua changu,aisee. mnao oa mna moyo sana. kuna ule msemo kwamba kunguru hafugiki...................
kaka niliacha uchangudoa soon mama alipotoka jela
naona umedhamiria kuniumiza
 
....labda kama mwenzetu uliwahi kuambiwa kuna dhambi nyingine kutokana na ukubwa wake hustahili kusamehewa. Wewe unajishuku bure inawezekana hata hao Wakenya unaojaribu kuwakimbia nao maisha hayo labda walishayaweka pembeni na wala hawana mpango wa kukuchomea.

umuombe mungu akutunzie dhambi tena kubwa hivi wewe una masihara na MUNGU
 
Kwanza pole dada yangu, ila usijihukumu Sana, muhimu sasa upo katika njia salama pia wamjua Mungu, na sifa Mojawapo ya wanaomjua Mungu ni kujiamini wala usiwe na hofu, wewe mwambie tu, Kama anakupenda kweli, "nazungumzia upendo wa kweli basi atakuelewa.
Maana upendo wa kweli hauhesabu mabaya ila unajua kupenda tu, Kama hatokuelewa usihuzunike sana, inuka usonge mbele utapata anaekupenda kweli na utaishi nae kwa raha na Kwa uhuru kuliko kumficha huyu na hata asipojua ukimficha, hautaishi kwa uhuru na ukawa na mzigo moyoni na hofu siku zako Zote mkiwa ndani ya Ndoa.
Hadi uje hapa na kuandika hili jambo naamini "you are strong Woman" na ushaanza kuutua mzigo wa moyoni taratibu Kwa hiyo jiamini halafu uumalizie mzigo wote na utakuwa huru.
 
thanks
eti wewe unaweza kuoa mwanamke wa aina yangu......i am asking kindly

Mie dada naweza maadam kajua nafasi yake iko wapi na kujirudi mbona haina shida, mfano kama ni fuatiliaji wa biblia kitabu cha Hosea Mwenyezi Mungu alimuagizia huyo nabii akaoe mwana mke waaina gani? Una nafasi kubwa sana dada yangu kwa Mungu tena ukisimama utakua shuhuda na wengi watamrejea Mungu kwa wewe. Pole mwaya Mungu anakupenda mae.
 
MUNGU ameshakusamehe na wewe jisamehe kwa kuyasahau yote uliyoyafanya siku za nyuma.
Hamna haja ya kumwambia,ya kale yameshapita ila usirudie tena tabia hiyo.
All the best.
 
Tatizo umeshajihukumu mwenyewe, na unajiongezea mzigo kwa kutosema ukweli. Only the truth will set you free.

Watu wanaoa Kardashians na wanajaribu kuwabadilisha, itakuwa wewe ambaye umeshabadilika mwenyewe.
kardishian ameolewa na mbwea mwenzake, mimi mmasai wangu ni mtu cool sana na sii mtu wa wanawake kabisa sasa akijasikia mimi ni x-changudoa si patachimbika
 
unazidi kuniumiza
hata wadogo zangu hawajui kama nlikuwa najiuza NAIROBI wakati wa LIKIZO....so i do believe hata mchumba wangu anaweza asijue hii siri maisha yake yote.Only my mama anajua hata baba na mjomba wahajui

Marytina kwa sababu umeshatubu na MUNGU ameshakusamehe inatosha HAKUNA HAJA YA KUMWAMBIA.Endelea kuwa mwaminifu kwa MUNGU na usisikilize maneno ya wanaokukatisha tamaa.Songa mbele mama.
 
Wakukuvumilia tupo sema nafasi hatukuipata tena hakuna wanawake wazuri kama nyie usife moyo dada.

Unaweza kutabasamu kwa mema na mazuri uyakumbukayo

jaman utanifanya nilale kwa furaha leo....skujua kama kuna wanaweza kunivumilia
 
najuta kwa nini nlikubali kuwa kiongozi pale kanisani....unajua ukiwa kiongozi inabidi uwe msafi na uonekane kuwa msafi.
mimi kwa sasa ni msafi ila ntakuwa na muonekano wa kuwa mchafu kwa sababu ya past yangu.

Hakuna aliye msafi 100%, kwani BF wako ulishamwonjesha, kama ndiyo alionaje? Usijekuta unamwogopa bure kumbe yeye anakupendea mali zako, kupenda hakuangalii historia, kuna rafiki yangu alikuwa na stress ya mkewe tukaenda maeneo kujiburudisha na machangu , nadhani yule changu alimtoa stress kwani aliporudi nyumbani wife akamletea kichaa ndo ukawa mwisho wa ndoa, akanipigia nimtafute yule changu anamaongezi nae, nilimtafuta nikijua kamwibia maana nae alikuja kibiasha, hadi navyoandika changu ndo shem wangu natunaheshiana vizuri,
 
....labda kama mwenzetu uliwahi kuambiwa kuna dhambi nyingine kutokana na ukubwa wake hustahili kusamehewa. Wewe unajishuku bure inawezekana hata hao Wakenya unaojaribu kuwakimbia nao maisha hayo labda walishayaweka pembeni na wala hawana mpango wa kukuchomea.
mmh!
ukiwajua machangudoa u will neva trust them hata kwa hatua mmoja
 
Hivi tuzo za watu wanaonyesha channel ipiii???????
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom