Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Ningekua bf wako na ukanisimulia kama hivi ulivyo weka wazi hapa.
Hakika ninge kusamehe bure na ningehisi unahitaji kupendwa zaidi ili usahau machungu na masahibu yalio kupata.
Pole sana, na nimejisikia huruma aiseee.....
 
kuisoma tu hii post yako natetemeka, usiku kama tumechelewa kurud akiwaona machangudoa husikitika sana na hufokea mpaka usukani wa gari anayoendesha.......roho huniuma sana

kuna watu wamefanya worse than hayo yako, bt they are stil there wanaishi vizuri wakiwa na good hope.
let me tel u kitu kimoja, kila mtu shetani ana kitu chake anachotumia kumuewek kwenye position ya kutenda dhambi au kumfanya hawe weak ili asifanye vema kazi ya Mungu au kulinda familia yake.

Hili ni jaribia lako Sis lazima ulipitie na hakuna mwana saikolojia au nani anayeweza kukutoa hapo bali ni wew mwenyew , HOW? Ni kumbuka tu kupitia ubatizo unauzika mwili wa zamani una zaliwa upya, usiwe guilty na mzigo uliokwisha tuliwa, usiwe guilty kwa dhambi zilizo oshwa

ONY GOD ATAWEZA KUKUPITISHA HAPO,KUKUPA NGUVU,HEKIMA NA MOYO WA UJASIRI. MUNGU NA AYAFANYE HAYA KWAKO KAMA ALIVYO AHIDI IN THE NAME OF JESUS
 
Umepima? Na matokeo je
...baada ya mama yako kujua ulkuwa unajiuza alikuchukuliaje,shujaa,alikupa pole...au nini.binafsi nimekupenda ww ni jasiri na naamini umetubu,kumwambi au kutomwambia inategemea kichwa cha mumeo kikoje

mama naamini anajua kwa kuwa nilipoanza tu kumweleza namna tulivyoishi akiwa jela aliniomba nisimweleze na akalia...mpaka leo hataki nimweleze na nkitaka kumuudhi huwa namwambia nitamtumia meseji ya kumweleza niliyofanya akiwa jela..basi huishia kuniomba nisimtumie.
mama ananipenda sana najiskia furaha kuwa na mama kama huyu
 
Pole mdada kama ni kweli lakini usikurupuke kumwambia dada yangu sie wanaume tunajijua hakuna kitu kinauma kama mwenzangu aniambie alishatembea nafulani au alishafanya mara kadhaa inaumaje! We lia na Mungu wako akusamehe maana hapo uliemkosea ni Mungu sie huyo mchumba wako kwani haukuwai kuwa nae kabla ya hayo useme ulimsaliti hivyo toba yako ni kwa Mungu mengineyo yawe ni kama ushuhuda tuu. Kingine jisamehe kwanza maana unajihukumu pia sali sana na tumaini liwa kwa Kristo tu kuhama kanisa haita kuponya dada yangu .
thanks
eti wewe unaweza kuoa mwanamke wa aina yangu......i am asking kindly
 
Kanisa litadhalilika kivipi ili hali hilo jambo lilitoke kabla hujampokea yesu???? KIFUPI KAMA UMEOKOKA na umepokea sara ya toba ya kweli na huendelei na hiyo tabia tunasema yote yaliisha pale msalabani, sasa wewe ulipokea sara ya toba gani???????

Anyway mwambie atazidisha sana upendo hutajuta hakika, maana mie mgeni wakupenda japo nimetoa ushauri.

MEANS hujawahi penda...??
 
Utupe mrejesho, manake kama maushauri tu umeyapata.

Kama hutajali tunaomba utumwagie kisa kifupi lakini cha kusisimua ulichokumbana nacho enzi ya uchangu.
i am not yet dicided kumwambia au kukausha? kurudi kanisani pa awali au kuendelea kusali njee ya mji?
poa ntajawapa visa tena vingi tu vya kuelimisha nlivyokutana navyo just uwe ukinikumbusha
 
nimekukumbuka pia!
watu wanaogopa kueleza stori zao mbaya hapa jkwaani
nipo tofauti nikieleza hapa jukwaani najihisi nafuu flani na kujiona wa kawaida

Well, all the best. Kumbuka whatever it is you don't owe anything to anybody. Love is free, vibe with it...
 
Niko Nairobi SAA Hii,ingawa naishi dar'niko kikazi tu kwa muda;kwa jinsi wadada wanavyouza k hapa'nakushari usimwambie mumeo,maana !?
 
Moja ya sifa ya kanisa lolote ni mtu kutubu na kuamua kufuata yaliyo mema ama sahihi machoni pa Mungu. Hakuna aibu katika kutubu. Aibu unamwonea binadamu mwenzio au Mungu? Wanatubu wauwaji itakuwa wewe?
najuta kwa nini nlikubali kuwa kiongozi pale kanisani....unajua ukiwa kiongozi inabidi uwe msafi na uonekane kuwa msafi.
mimi kwa sasa ni msafi ila ntakuwa na muonekano wa kuwa mchafu kwa sababu ya past yangu.
 
Covering the truth seems like the name of the game for most of us, ila viongozi wa uma wa wanasiasa wakigoma kutangaza mali zao na walivyozipata tunalalamika. You may not see it, but this is how the whole society is being poisoned.

Tell the truth and face the consequences, then start afresh from there. Hizi habari za kujaribu kuficha ukweli zinazaa majanga tu badae, coz the truth will always come out, always.
 
Niko Nairobi SAA Hii,ingawa naishi dar'niko kikazi tu kwa muda;kwa jinsi wadada wanavyouza k hapa'nakushari usimwambie mumeo,maana !?

kwa nini wanaume hamko tayari kuishi na x-changudoa???
nimeacha na najutia jaman
 
Covering the truth seems like the name of the game for most of us, ila viongozi wa uma wa wanasiasa wakigoma kutangaza mali zao na walivyozipata tunalalamika. You may not see it, but this is how the whole society is being poisoned.

Tell the truth and face the consequences, then start afresh from there. Hizi habari za kujaribu kuficha ukweli zinazaa majanga tu badae, coz the truth will always come out, always.

nimeteseka sana maisha ya udogoni na sasa naelekea kuanza mateso ya ujana mpaka uzeeni......najiona sifai, sifai kabisa hamna mwanaume atakayenivumilia
 
Marytina;
Nasema na weye kama mtaalam wa mambo hayo unayo yapitia kwa sasa. Umeandika humu jf kuomba msaada hivyo huu ndo msaada wangu;
1. Hakuna kitu kibaya kama yule umpendaye akija funuliwa kwako thru another source. (Third party)
2. Umpendaye hawezi kuwa mwovu tena kama umemjua na akikuhakikishia kuwa kabadilika (II Cor. 5 : 16 Wherefore hence forthknow we no man after the flesh,......
3. Umesema weye ni mtu wa Kanisani, unatengeneza mambo yako na Mungu, huwezi kutengeneza mambo na Mungu usiye muona, halafu umfiche ambaye anakuja kuwa wako wa milele. Hapana, tengeneza naye kwanza.
UAMUZI:
Mwambiye taratibu kabisa, bila hofu yeyote. Kama ni wako atakupokea tu. Hukuenda kujiuza kwa sababu ya tamaa zako, usingelimalizia shule kwa njia nyingine. Mbona sisi tumekuelewa, Ukimwomba Mungu atakutetea. Bora ajue akukatae mapema kabla ya ndoa kuliko kuja kukukataa kwenye ndoa.
mmh nmaniliza jaman!!!
ntaanza anzaje kumweleza na anavyoniamini si itakuwa najichongea???
niko na wakati mgumu sana kuna saa najiwa na hisia za kukaa bila kuolewa daima
 
Kama unasukumwa na dhamiri ya dhati mwambie lakini tumia hekima kubwa au waweza ukamueleza kama unatoa ushuhuda fulani juu ya maisha yako. Huku ukionesha kulia machozi ya mamba

akianza kufoka kwa nini siku zote sikumwambia itakuwaje???
wakaka ni wagumu sana kuikubali hali yangu
 
huoni wakenya wakisema ntaishi bila nimpendaye maisha yangu yote???nimechoka sana mpaka ubongo naitaji mwanaume wa kunisaidia na huyu MMASAI ni right person...akiniacha nianze tena kujiwazia, kujiongoza i cant that...

na vipi pale kanisani nlipokuwa kiongozi wa vijana wakijajua mimi ni x-changudoa???ntaweka wapi uso wangu



Girl...probably you're not ready! You only fear to be dumped na wala sio habari za kanisa, you're scared that sooner or later he'll know your past.

Mtu akitubu haogopi tena macho ya watu, haogopi nani atamsemaje na vipi atakuwa judged coz he's submitted his life to God.

Work on your relationship with God first, hizo positions ulizopewa kanisani hazina maana kama uhusiano wako na Mungu ni wa mashaka, then baada ya hapo utapata solutions za kutengeneza uhusiano wako na mchumba.
 
Back
Top Bottom